CCTV yanasa mtu akimwaga vitu lango Kuu la Chamazi kabla ya mechi ya Yanga SC na Azam FC

CCTV yanasa mtu akimwaga vitu lango Kuu la Chamazi kabla ya mechi ya Yanga SC na Azam FC

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Picha za mjongeo kutoka kwenye CCTV za dimba la Chamazi zikionesha Mtu akimwaga vitu eneo la kuingilia uwanjani, punde tu baada ya Azam kukabidhi uwanja kwa mamlaka kuelekea mchezo wao dhidi ya Yanga SC.

Soma: Yanga imelimwa faini ya TSh. Milioni 10 kwa kupita mlango usio rasmi mechi ya Dabi ya Kariakoo

Leo ni mechi kati ya Yanga dhidi ya Azam hapo Chamazi na hii video imetolewa na Watu wa karibu na Azam wakilalamikia vitendo hivyo ambavyo sio vya kimpira.
 
Picha za mjongeo kutoka kwenye CCTV za dimba la Chamazi zikionesha Mtu akimwaga vitu eneo la kuingilia uwanjani, punde tu baada ya Azam kukabidhi uwanja kwa mamlaka kuelekea mchezo wao dhidi ya Yanga SC.

Soma: Yanga imelimwa faini ya TSh. Milioni 10 kwa kupita mlango usio rasmi mechi ya Dabi ya Kariakoo


Leo ni mechi kati ya Yanga dhidi ya Azam hapo Chamazi na hii video imetolewa na Watu karibu na Azam wakilalamikia vitendo hivyo ambavyo sio vya kimpira.
View attachment 3141473
Hizo CCTv hazikamati? Yaani baada ya tukio kama hilo hakuna alamu inayo piga kelele na kumfungia anaye fanya jambo tofauti?
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-1769471325.jpeg
 
Picha za mjongeo kutoka kwenye CCTV za dimba la Chamazi zikionesha Mtu akimwaga vitu eneo la kuingilia uwanjani, punde tu baada ya Azam kukabidhi uwanja kwa mamlaka kuelekea mchezo wao dhidi ya Yanga SC.

Soma: Yanga imelimwa faini ya TSh. Milioni 10 kwa kupita mlango usio rasmi mechi ya Dabi ya Kariakoo


Leo ni mechi kati ya Yanga dhidi ya Azam hapo Chamazi na hii video imetolewa na Watu karibu na Azam wakilalamikia vitendo hivyo ambavyo sio vya kimpira.
View attachment 3141473
Watu wa Mikia FC hao wachawi Makolo FC wanatuwangia.
 
hata video hujaangalia aliyemwaga dawa za uchawi ni shabiki wa yanga. Na azam wamemaindi vibaya mno.
Screenshot_20241102_134252_Chrome.jpg

Macomandoo wa Yanga tunawajua mbona,mwenye uchawi wa kinyunyiza anajulikana,tena muda mwingine hadi changing uwa ananyunyiza sumu kabisa,ndio maana Yanga uwa tayari kulipa faini
 
Back
Top Bottom