Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
View attachment 3141551hata video hujaangalia aliyemwaga dawa za uchawi ni shabiki wa yanga. Na azam wamemaindi vibaya mno.
Macomandoo wa Yanga tunawajua mbona,mwenye uchawi wa kinyunyiza anajulikana,tena muda mwingine hadi changing uwa ananyunyiza sumu kabisa,ndio maana Yanga uwa tayari kulipa faini