CCTV yanasa mtu akimwaga vitu lango Kuu la Chamazi kabla ya mechi ya Yanga SC na Azam FC

Hizi propaganda za kutaka kuichafua Yanga kwamba imefanya hayo yote. Azam na washirika wenu acheni huu uhuni haina maana yoyote uwanja ni wenu mshindwe kueatambua hao watu
 
Utamsikia waziri wa michezo akijibu swali bungeni kuwa huyo alikuwa anaua wadudu
 
Ngozi nyeusi tutaacha lini ujinga? Hao wanaofanya hivyo ni wa hovyo na wanaotishika au kuogopeshwa na huo ujinga nao ni wa hovyo pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…