CDC wakutana kujadili kesi za kuvimba moyo za waliopata chanjo ya Moderna na Pfizer

Au inarudisha bikra. Hapo hata chanjo itakuwa inatolewa mkoa mumoja tu kama kikombe cha babu lazima mtu achanje
Hayo ndiyo mambo tunayojali.

Ukisema chanjo inakinga magonjwa magonjwa kitu gani wewe.
 
Hapo viroboto na washirika wao ni mwendo wa kukenua. Hasa kama wote waliochanjwa wangekufa ghafla wangefanya tafrija 😁😁.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…