CDF Mabeyo: JKT siyo sehemu ya ajira bali ni sehemu ya kuwafundisha vijana uzalendo

CDF Mabeyo: JKT siyo sehemu ya ajira bali ni sehemu ya kuwafundisha vijana uzalendo

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Mkuu wa majeshi nchini Generali wa nyota 4 Mabeyo amesema JKT siyo sehemu ya ajira bali ni sehemu ya kuwafunza na kuwaandaa vijana kuitumikia nchi yao kwa uzalendo.

CDF amesema kwa sasa vijana wanakwenda kwa utaratibu wa kujitolea na jeshi linauangalia kwa upya utaratibu huo.

Chanzo: TBC
 
Mkuu wa majeshi nchini Generali wa nyota 4 Mabeyo amesema JKT siyo sehemu ya ajira bali ni sehemu ya kuwafunza na kuwaandaa vijana kuitumikia nchi yao kwa uzalendo

CDF amesema kwa sasa vijana wanakwenda kwa utaratibu wa kujitolea na jeshi linauangalia kwa upya utaratibu huo.

Source: TBC
Hili kayumba sana , kosa ni vijana Kuandamana basi.
 
Mkuu wa majeshi nchini Generali wa nyota 4 Mabeyo amesema JKT siyo sehemu ya ajira bali ni sehemu ya kuwafunza na kuwaandaa vijana kuitumikia nchi yao kwa uzalendo

CDF amesema kwa sasa vijana wanakwenda kwa utaratibu wa kujitolea na jeshi linauangalia kwa upya utaratibu huo.

Source: TBC
Huo ni unyonyaji mtupu mnatumikisha watoto wa watu miaka miwili bila malipo wanajenga majengo mbali mbali ukuta mrefu hivo arafu mnakuja kuwafukuza kama mbwa, kwani nyie hamlipwi.

Hayo maneno ya kulagai yalitumika kipindi cha ujamaa ku brainwash watoto wa watu ili wakubwa wafaidike, cdf mjitadhimini mnalo fanya sio hao vijana wana familia zao na malengo yao.
 
Wanatinga uraiani, ni mwendo wa kuimba kuku na kukaba .
Mtaani ni zaidi ya jeshi. Vibaka tu walimuua Bondia Thomas Mashali, sembuse JKT aliyetoka kubebea tofali Chamwino na kulima bamia.

Waje tu mtaani kuna maisha mapya.
 
Hakumaanisha waajiriwe na JKT.
Ile video ya jpm, akitoa maagizo kuwa wamefanya kazi nzuri sana, hivyo anatoa maagizo wote waajiriwe jeshini(jwtz) umeiona?, huko wastafu wa polisi nako wanalia kuwa alipotoa maagizo kuww ndani ya wiki moja walipwe, ameondoka kabla ya ahadi hiyo kutekerezwa!!!
 
Tatizo la Mataga kila wakati ni uongo uongo tu!! Magufuli alisema waajiriwe lakini kosa la vijana wameandamana kwa Jeshi ni kosa mbele ya watu.
Alisema waajiriwe lakini hakusema waajiriwe JKT.

Kuna JWTZ Polisi, Magereza nk nk!
 
Vijana walikuwa sahihi kulalamika kuhusu Ajira zao Ila walikuwa wamekosa Sana kuandamana Kama mjuavyo jeshin!!!

So mabeyo wafkirieni kwa upya hao vjana vngnevyo itakuwa hatareee Huku mtaan

Rai yangu vijana muache hyo tabia tambuen namna ya kulkabili tatizo na njia za kutumika!!
 
Back
Top Bottom