Hizi dharau zenu ndio zilimponza mwendazake
Ujuaji si kosa kama unachojua ni sahihi na umekipata kwa juhudi zako binafsi..cheo, hadhi au Mali havimfanyi mtu kujua lolote kama yeye mwenyewe hana bidii ya kutaka kujua!
Kwa hiyo mkuu wa majeshi ni superman.. You r wrong!Sio cheo cha mkuu wa majeshi,
Labda vyeo vya ukurugenzi
Kwa hiyo mkuu wa majeshi ni superman.. You r wrong!
Katiba ndio inasema hivyo?
CDF anaripoti kwa Waziri wa ulinzi??
Jamani tupumzisheni kidogo.
Hata ikiletwa mpya kama itapata wahuni mziki ni ule ule tu!Maana kama siyo Ukatoliki wa General Mabeyo Katiba ingeweza kukiukwa na sijui ingekuwaje
Rais Samia atusaidie kupata Katiba ya Wananchi
Au nasema Uwongo Ndugu Zangu?
Mlale Unono 😀😀😀🔥
Nadhani kuna nafasi ukikaa unapata access ya info za siri zaidi kuzidi wengine. Hii ni fact ingawa haiwafanyi wahusika kuwa mungu, kwani bado kuna info wanakuwa hawana na ni jukumu lao kuzitafuta wasizozijua. Hii ni practice katika dola mbalimbali. Mara nyingi anakuwa mlaji mkuu wa taarifa na mpelekaji mkuu wa taarifa.Kwa hiyo mkuu wa majeshi ni superman.. You r wrong!
Bado mtoto wewe ndio maana unakariri kariri mambo, haya unayoongea yamekuzidi umri hujui lolote zaid ya akili ya kukariri..Katiba ilifatwa badae but mwanzo lazima wanaume waitane na wajue makamu atapokeaje je kama angepokea Kwa mstuko na yeye akafa?
Unadhania ni Jambo Rahisi kuona unaenda kuwa Rais wa Inchi?
Malaika ndio wanahusika upatikanaji wake..toa ujinga wako hapa!I think hujui wanapatikanaje na Wana nguvu gani kwenye inchi, na wanaweza kufanya nn kwenye inchi so kaa kimya Tu
Magufuli alikuwa anajua ni kipi kinamuua,na kwa nn anauawa,na ana uawa na akina nani.hivyo kutokupata taarifa mapema kwa mkamu wa rais ni jambo la kawaida tu,japo hata makamu naye alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea.Magufuli aliweza kuagiza Mapadri waende, lakini alishindwa kuagiza aitiwe Makamu wake, hata amuachie wosia juu ya Majukumu anayomuachia, naona bado kuna vumbi halijatuama, nasubiri story zaidi.
Yani wewe ni 01. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.
3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.
4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)
Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.
Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Ujuaji wa watzMagufuli alikuwa anajua ni kipi kinamuua,na kwa nn anauawa,na ana uawa na akina nani.hivyo kutokupata taarifa mapema kwa mkamu wa rais ni jambo la kawaida tu,japo hata makamu naye alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea.
Alikua mbeyaNimeshangaa pia:
Something is fishy here.
- Dar es Salaam walikuwepo watatu: CDF, IGP & DGIS
- Makamu wa Rais alikuwa Tanga, Waziri Mkuu alikuwa mkoani (Dodoma or elsewhere)
- Lakini Waziri Mkuu aliitwa na alipata taarifa mapema, kabla ya Makamu wa Rais
Prof. Mchembe ni mkurugenzi mkuu wa Mzena Memorial Hospital1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.
3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.
4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)
Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.
Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
......"At his side, was his dear wife Madame Monica Geingos and his children.”Boss tunaongele mambo ya Nchi Mzee.....ishu ya mke inakujaje hapa, Yani uwe rais WA Nchi uone kabisa huna pa kutokea uite mkeo, unaniangusha Boss, ukishakuwa na madaraka makubwa kama ya Urais inakuwa Nchi kwanza, mambo ya familia badae.