Ujuaji si kosa kama unachojua ni sahihi na umekipata kwa juhudi zako binafsi..cheo, hadhi au Mali havimfanyi mtu kujua lolote kama yeye mwenyewe hana bidii ya kutaka kujua!Wabongo bwana ujuaji mwingi Sana
Hivi unadhania mpaka mtu anakuwa CDF ni Jambo simple simple Sana eh
So wewe unajua utaratibu kuliko mkuu wa majeshi?
Tuache kujifanya wajuaji sana