CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

Bado mtoto wewe ndio maana unakariri kariri mambo, haya unayoongea yamekuzidi umri hujui lolote zaid ya akili ya kukariri..

Kwani katiba gani imevunjwa? Nani alitangaza msiba?

Hata kama jpm angekufa wakati Yuko na madactari Tu unadhani hao madactari wangepiga simu Kwa vice moja Kwa moja?

Lazima wangeanza kujua watu watu wengine then makamu ndio angeambiwa
 
Magufuli alikuwa anajua ni kipi kinamuua,na kwa nn anauawa,na ana uawa na akina nani.hivyo kutokupata taarifa mapema kwa mkamu wa rais ni jambo la kawaida tu,japo hata makamu naye alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea.

Hapa sasa unajitafutia matatizo ndugu yangu Bora ukae kimya tu
 
Nimeshangaa pia:
  • Dar es Salaam walikuwepo watatu: CDF, IGP & DGIS
  • Makamu wa Rais alikuwa Tanga, Waziri Mkuu alikuwa mkoani (Dodoma or elsewhere)
  • Lakini Waziri Mkuu aliitwa na alipata taarifa mapema, kabla ya Makamu wa Rais
Something is fishy here.
πŸ€”πŸ’­πŸ“πŸ›‘οΈ
 
Magufuli aliweza kuagiza Mapadri waende, lakini alishindwa kuagiza aitiwe Makamu wake, hata amuachie wosia juu ya Majukumu anayomuachia, naona bado kuna vumbi halijatuama, nasubiri story zaidi.
πŸ‘ŠπŸ€πŸ”­
 
Ni Magufuli ndio alijitengenezea hayo mazingira, alimpuuza makamu wake. Magufuli alikuwa hajali mambo ya katiba. Kuna uhuni walitaka kuufanya nafikiri kuna kitu walistuka, ndio maana Samia akamwondoa Mabeyo kabla ya muda wake. Hata hivyo Mabeyo angetulia tu aachane na hayo mambo hayo. Si vizuri CDF kuongeaongea, mbona wenzake kina Mwamunyange wako kimya? Msukuma ni msukuma tu
 
Una chuki nzito sana daah πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 

CDF alikuwepo wakati jpm anafariki sasa ulitaka ajifanye ajui mpaka makamu wa Rais mpigie simu kumwambia Rais amefariki?

Na wakati tukio linatokea yeye alikuwa hapo na mgonjwa?

Yani wewe ni ziro
 
Prof. Mchembe ni mkurugenzi mkuu wa Mzena Memorial Hospital
Kwa hiyo hii hospital ni bora zaid ya hospital za Jeshi ambako ndiko kunapaswa kuwepo huduma za kitabibu za juu zaidi kulingana na mahitaji..wanajeshi wanakwenda vitani na ni kundi kubwa wanahitaji huduma bora za kitatibu..nje ya kutibu viongozi wanapougua hii hospital ya mzena wanamtibu nani? Kwa nini zisiboreshwe zile hospital za jeshi?
 
Alifungwa nasikia na serikali
 
Kwani katiba gani imevunjwa? Nani alitangaza msiba?

Hata kama jpm angekufa wakati Yuko na madactari Tu unadhani hao madactari wangepiga simu Kwa vice moja Kwa moja?

Lazima wangeanza kujua watu watu wengine then makamu ndio angeambiwa
Childish..
 
Mjini kuna wajuaji tu,lkn watu wakubwa,wenye nguvu na maarufu, wengi wanatokea kijijini.
 
Magufuli alikuwa anaishi na Mama samia kinafiki na alikua hamshirikishi kwa mambo mengi tu kifupi samia alikua kama pazia tu pale ikulu na bendera fuata upepo.
lete ushahidi.Lakini alikuwa sawa sbb kama Ili issue ya barrick ukiisema ovyovyo jamaa usingewakamata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…