CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Hicho ulicho andika unarefer kutoka wapi,wewe unazani yule kanali alikuwa anaripoti kwa nani?
 
Kwa hali aliyokuwa nayo marehemu wakati huo, ilikuwa ni wakati delicate sana. Hofu ilikiwa kwamba wabaya wake wangeweza kuitumia kummalizia. Ndiyo maana wakuu wa vyombo vya usalama wote walikuwa pale ili kuwa na uhakika kuwa hali yake mbaya ya kiafya haitumiwi na mahasimu wake. Hivyo hata kuwaweka mbali wale wote waliopo kwenye nafasi ya kuyarithi madaraka yake kama angefariki, huenda ulikuwa ni mkakati uliokuwa umepangwa na hao watu wa usalama.
Hiyo ndo siri kubwa kwaninkama wangekuwa karibu ungekuta watu wanaanza kuijpanga kuchukua fursa na hivyo kuelta mtafaruku kwenye nchi
 
Sio kila mtu anaweza kuhandle taarifa za msiba wa mtu

Na Kwa tamaduni za kiafrica wanaume kwanza ndio wanapeana taarifa

Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani, but cha kwanza wanaume lazima wakutane wapange mambo yatakuwaje

So mabeyo Yuko sahihi kabisa
Sure
Wamama tuna mioyo miepesi mno kuweza kubeba taarifa nzito
 
Somebody taught me this one day somewhere..

Akaniambia ni vyema kama ndugu mna mgonjwa wenu amelazwa hospitalini, asubuhi mnapokwenda kumuona msiache mwanamke aende peke yake, lazima aambatane na mwanaume, ili kama mgonjwa akiwa na hali mbaya sana, au bahati mbaya ameshafariki, basi mwanaume awepo ili kumtuliza mwanamke, wanawake hawawezi kujizuia kwenye vilio, wanalia mpaka unajiuliza hivi huyu atanyamaza kweli...
Ni kivumbi
Hata mm binafsi siwezi kuhimili taarifa za msiba hospital
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Makamo ndo kitu gani?
 
Nimeshangaa pia:
  • Dar es Salaam walikuwepo watatu: CDF, IGP & DGIS
  • Makamu wa Rais alikuwa Tanga, Waziri Mkuu alikuwa mkoani (Dodoma or elsewhere)
  • Lakini Waziri Mkuu aliitwa na alipata taarifa mapema, kabla ya Makamu wa Rais
Something is fishy here.
Tushangae wote, hadi anafikia hiyo hatua, familia yake hisijue?
 
Kwahiyo wewe ndiye unajua kuliko wao? Wabongo wanapenda kukuza mambo, unaweza kujikuta watu wanakufahamu kuliko wewe mwenyewe unavyojijua
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Makonda anajua alipo.

Mi nahisi labda ilitokana na utaratibu wa kiislam,usiomruhusu mwanamke kuwaongoza wanaume. Huenda kwanza walikaa wakalijadili na kuona siyo picha nzuri. Pengine na kushauliana mpaka wanaafikiana.
Kwa akili za wengi,raisi ni msimamizi,lakini mamlaka ya kuamua anavyotaka,sidhani kama anayo.
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Umedanganya kusema BAKITA walijua kifo kabla ya makamu wa rais..
 
Ni Magufuli ndio alijitengenezea hayo mazingira, alimpuuza makamu wake. Magufuli alikuwa hajali mambo ya katiba. Kuna uhuni walitaka kuufanya nafikiri kuna kitu walistuka, ndio maana Samia akamwondoa Mabeyo kabla ya muda wake. Hata hivyo Mabeyo angetulia tu aachane na hayo mambo hayo. Si vizuri CDF kuongeaongea, mbona wenzake kina Mwamunyange wako kimya? Msukuma ni msukuma tu
Mi naona mnaropoka tuu…katiba iko wazi wangefanya nini?…. Lazima tujiulize kwanini makamo alikuwa ana wekwa mbali? Unafikiri hakujua alikuwa anaumwa? Unafikiri nani alikuwa anampa habari Lissu?
Wanasema ” betrayal is not an act of enemy is an act of friend”
 
Tena Magu alivuta siku nyingi kabla hata ya hiyo siku iliyotajwa...ushahidi ni mazoezi ya brass band za jeshi yaliyokuwa yakiendelea karibia wiki 2 kabla kifo cha Magu hakijatangazwa rasmi, kama afanyavyo Msechu tu yan
Sasa ulitaka taarifa itangazwe bila maandalizi? Kwani yule alikuwa mjumbe wa shina mkuu?
 
Back
Top Bottom