CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

Mngejiuliza hiyo Mzena Hospital ni ya taasisi gani na madaktari ni WA taasisi gani na kwanini madaktari hawakupiga Kwa Makamu au PM hali ilivyobadilika wakapiga Kwa CDF, DGS na IGP.

Amiri Jeshi yupo hoi na katika hatua za mwisho na anauguzwa Mzena Hospital alafu wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wasiwe wanajua kinachoendelea wakati mgonjwa yupo Mzena Hospital

Btw kabla ya msiba wa kitaifa kutangazwa huwa kuna mambo nyuma ya pazia yanaendelea ilikuwa pamoja na way forward ili anaetangaza anakuwa amepata ABC za nini na nini cha kufanya
Magufuli alikuwa anajua ni kipi kinamuua,na kwa nn anauawa,na ana uawa na akina nani.hivyo kutokupata taarifa mapema kwa mkamu wa rais ni jambo la kawaida tu,japo hata makamu naye alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea.
nakupa maua yako
 
Kwa hali aliyokuwa nayo marehemu wakati huo, ilikuwa ni wakati delicate sana. Hofu ilikiwa kwamba wabaya wake wangeweza kuitumia kummalizia. Ndiyo maana wakuu wa vyombo vya usalama wote walikuwa pale ili kuwa na uhakika kuwa hali yake mbaya ya kiafya haitumiwi na mahasimu wake. Hivyo hata kuwaweka mbali wale wote waliopo kwenye nafasi ya kuyarithi madaraka yake kama angefariki, huenda ulikuwa ni mkakati uliokuwa umepangwa na hao watu wa usalama.
Umeelezea vyema mkuu. Humu majitu mengi hayana Common sense kabisa.
 
Chain of command
PRESIDENT >>V. P>>P. M huyo CDF ni mbali Sana anaripoti kwa waziri wa Ulinzi, Inakuwaje top secret ifahamike na CDF halafu VP na PM wasijue?

Pengine mwendazake alihisi kuna wasaliti hivyo akaamua kuvunja chain of command??
CDF ni Nyeti sana mzee, hayupo kwenye Succession Plan ila Ni top sana na ana Clearance kubwa kuliko hao uliowataja, V.P na Waziri wa Ulinzi ni maboss kwa CDF kwa macho ya Juu tu ila kati ya CDF, VP na Waziri, Top inner circle ya Rais apo Ni Mkuu wa Majeshi
 
Ni Magufuli ndio alijitengenezea hayo mazingira, alimpuuza makamu wake. Magufuli alikuwa hajali mambo ya katiba. Kuna uhuni walitaka kuufanya nafikiri kuna kitu walistuka, ndio maana Samia akamwondoa Mabeyo kabla ya muda wake. Hata hivyo Mabeyo angetulia tu aachane na hayo mambo hayo. Si vizuri CDF kuongeaongea, mbona wenzake kina Mwamunyange wako kimya? Msukuma ni msukuma tu
Umeandika ujinga mtupu. Mabeyo kaingia Jeshini 1977. Ulitegemea awe Jeshini hadi leo hata kama ni CDF ni lazima angekuwa amestaafu tu, kwahiyo ficha ujinga wako.
 
Chain of command
PRESIDENT >>V. P>>P. M huyo CDF ni mbali Sana anaripoti kwa waziri wa Ulinzi, Inakuwaje top secret ifahamike na CDF halafu VP na PM wasijue?

Pengine mwendazake alihisi kuna wasaliti hivyo akaamua kuvunja chain of command??
Mkuu hakuna unalolijua...CDF halipoti Kwa Waziri Wa ulinzi

Usilolijua,Waziri Wa ulinzi Ni ceremonial leader Hana nguvu Yoyote jeshini...Hana hata nguvu ya kuwaamrisha Mabrigedea

Ndio maana Kangi Lugola alivyo kuwa anawapelekesha Akina IGP au Mkuu Wa magereza..JPM alimstua Kangi kuwa wengine Wana report kwake (RAIS) directly..Na Sio Kwa Waziri

Mkuu Wa majeshi anareport directly Kwa Rais, pia Waziri Wa ulinzi, baadhi YA vitu vingi vya kijeshi huwa anarukwa..taarifa zinaenda Kwa Rais directly ndio maana wakati Rai's JPM anaumwa..huoni sehemu ya kuwa Waziri Wa Ulinzi kipindi hicho Hussein Mwinyi aliitwa...hakuwepo..ndio ujue huwa anarukwa...Na hutaaikia hata siku moja Waziri Wa ulinzi, akiwa anatoa Amri Kwa kada ZA chini yake
 
Kumbe Magu aliweza hadi kuwaita mapadri nyumbani baada ya kuona hali yake imedhoof? Na vipi kuhusu maneno ya kwamba alikauka kitambo tofauti na tarehe tuliyoambiwa na mama?

Nyumbani au hospital? Muwe munasoma vizuri
 
Mkuu hakuna unalolijua...CDF halipoti Kwa Waziri Wa ulinzi

Usilolijua,Waziri Wa ulinzi Ni ceremonial leader Hana nguvu Yoyote jeshini...Hana hata nguvu ya kuwaamrisha Mabrigedea

Ndio maana Kangi Lugola alivyo kuwa anawapelekesha Akina IGP au Mkuu Wa magereza..JPM alimstua Kangi kuwa wengine Wana report kwake (RAIS) directly..Na Sio Kwa Waziri

Mkuu Wa majeshi anareport directly Kwa Rais, pia Waziri Wa ulinzi, baadhi YA vitu vingi vya kijeshi huwa anarukwa..taarifa zinaenda Kwa Rais directly ndio maana wakati Rai's JPM anaumwa..huoni sehemu ya kuwa Waziri Wa Ulinzi kipindi hicho Hussein Mwinyi aliitwa...hakuwepo..ndio ujue huwa anarukwa...Na hutaaikia hata siku moja Waziri Wa ulinzi, akiwa anatoa Amri Kwa kada ZA chini yake

Huseni alikuwa Rais wa Zanzibar
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Unajua Msaidizi wa Amiri Jeshi Mkuu ni nani? Ni CDF.
 
Mkuu hakuna unalolijua...CDF halipoti Kwa Waziri Wa ulinzi

Usilolijua,Waziri Wa ulinzi Ni ceremonial leader Hana nguvu Yoyote jeshini...Hana hata nguvu ya kuwaamrisha Mabrigedea

Ndio maana Kangi Lugola alivyo kuwa anawapelekesha Akina IGP au Mkuu Wa magereza..JPM alimstua Kangi kuwa wengine Wana report kwake (RAIS) directly..Na Sio Kwa Waziri

Mkuu Wa majeshi anareport directly Kwa Rais, pia Waziri Wa ulinzi, baadhi YA vitu vingi vya kijeshi huwa anarukwa..taarifa zinaenda Kwa Rais directly ndio maana wakati Rai's JPM anaumwa..huoni sehemu ya kuwa Waziri Wa Ulinzi kipindi hicho Hussein Mwinyi aliitwa...hakuwepo..ndio ujue huwa anarukwa...Na hutaaikia hata siku moja Waziri Wa ulinzi, akiwa anatoa Amri Kwa kada ZA chini yake
Weee kumbe Hussen MWINYI alikuwa hajawa Rais wa Zanzibar wakati Magufuli anaugua na kufariki?
 
rais ni taasisi kwenye ishu yakiusalama MAGUFURI alikwa ni AMRI JESHI MKUU , sasa tuanzie hapa afya ya amri jeshi mkuu inaweza tishia usalama wa taifa na jukumu la kulinda usalama wa taifa ni lla viongozi wakuu wa majeshi ambao ni CDF IGP NA mkurugenzi wa usalama wa taifa na sio wanasiasa mliotaka wapewe taarifa mapema kama makamu wa rais spika au waziri mkuu wale wanaweza kuwa na interest zao binafsi za kisiasa hivyo kilichofanyika ni sahihi asilimia mia moja ndio maana paka sasa kuna amani kudos kwa viongozi wakuu wa majeshi kutuvusha katika wakati ule.
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Ungenukuu kikatiba na kisheria ingekua Bora zaidi kuhalalisha makosa na kuharamisha kilichotokea.
Infact makamo wa Rais anashughulika tu na mambo ya muungano na mazingira. Hana hiyo power unayofikiri! Hebu jiulize hata Sasa PM na VP Nani ananguvu katika maagizo ya kiutendaji? Huoni Kama VP anaishia kushauri tu na kuhudhuria makongamano na uzinduzi? Think big! Na mambo mengine yapo yalivyo politically
 
Mkuu hakuna unalolijua...CDF halipoti Kwa Waziri Wa ulinzi

Usilolijua,Waziri Wa ulinzi Ni ceremonial leader Hana nguvu Yoyote jeshini...Hana hata nguvu ya kuwaamrisha Mabrigedea

Ndio maana Kangi Lugola alivyo kuwa anawapelekesha Akina IGP au Mkuu Wa magereza..JPM alimstua Kangi kuwa wengine Wana report kwake (RAIS) directly..Na Sio Kwa Waziri

Mkuu Wa majeshi anareport directly Kwa Rais, pia Waziri Wa ulinzi, baadhi YA vitu vingi vya kijeshi huwa anarukwa..taarifa zinaenda Kwa Rais directly ndio maana wakati Rai's JPM anaumwa..huoni sehemu ya kuwa Waziri Wa Ulinzi kipindi hicho Hussein Mwinyi aliitwa...hakuwepo..ndio ujue huwa anarukwa...Na hutaaikia hata siku moja Waziri Wa ulinzi, akiwa anatoa Amri Kwa kada ZA chini yake
Wakati JPM anaumwa 2021 , Hussein Mwinyi hakuwa waziri tayari alishakuwa Rais wa Zanzibar

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ni Magufuli ndio alijitengenezea hayo mazingira, alimpuuza makamu wake. Magufuli alikuwa hajali mambo ya katiba. Kuna uhuni walitaka kuufanya nafikiri kuna kitu walistuka, ndio maana Samia akamwondoa Mabeyo kabla ya muda wake. Hata hivyo Mabeyo angetulia tu aachane na hayo mambo hayo. Si vizuri CDF kuongeaongea, mbona wenzake kina Mwamunyange wako kimya? Msukuma ni msukuma tu
Mabeyo amestaafu kwa mujibu wa sheria hizo habari zako amemuondoa zimetoka wapi
 
Makamu hakuwa loyal kwa Rais bali kwa wapinzani wake ndani ya Chama
Tena alisibiria afe na alifahamu kabisa mikakati yote ya kumuua wakamtumia Prof Janabi ambaye wamempatia platform kwenye media ili watanzania wasahu kuwa ndiye muuaji mkuu wa Dkt Magufuli, Dkt Samia na genge lake hawawezi kwepa lawama. Uzuri karma is real, ni suala la muda
 
Huyo mkewe mwenyewe alipata taarifa baada ya waziri mkuu na katibu mkuu kujua...mwanamke anabaki kuwa mwanamke kwenye mambo mazito..ndio maana unaona Samia ni rais wa mambo mepesi mepesi..safari za ulaya na arabuni, sherehe za kizimkazi, kucheza ikulu na wasanii pamoja na kina mwijaku na kina steve nyerere, kubadili mitandio na kujifukiza udi kwa chetezo cha umeme..kwenda kuangalia taarabu bwawani hotel.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
🤣
 
Back
Top Bottom