Mngejiuliza hiyo Mzena Hospital ni ya taasisi gani na madaktari ni WA taasisi gani na kwanini madaktari hawakupiga Kwa Makamu au PM hali ilivyobadilika wakapiga Kwa CDF, DGS na IGP.
Amiri Jeshi yupo hoi na katika hatua za mwisho na anauguzwa Mzena Hospital alafu wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wasiwe wanajua kinachoendelea wakati mgonjwa yupo Mzena Hospital
Btw kabla ya msiba wa kitaifa kutangazwa huwa kuna mambo nyuma ya pazia yanaendelea ilikuwa pamoja na way forward ili anaetangaza anakuwa amepata ABC za nini na nini cha kufanya
nakupa maua yakoMagufuli alikuwa anajua ni kipi kinamuua,na kwa nn anauawa,na ana uawa na akina nani.hivyo kutokupata taarifa mapema kwa mkamu wa rais ni jambo la kawaida tu,japo hata makamu naye alikuwa anajua kila kitu kinachoendelea.