CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

CDF mstaafu Mabeyo amelikoroga, Makamu wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais

1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Document gani inasema hivyo?
Na Je, Mabeyo alikuwa wa kwanza kujua Rais anaumwa?
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Kama hakuna supportive documents, circular, guidelines or Constitution, haya yanabaki maoni binafsi.
 
Badala ya kushukuru mfumo kuruhusu katiba kufuatwa, mnakaa kualumu laumu, busara zilitumika sana na hata sasa zinatumika. What is Constitution infront of powerful people? Very powerful people ambao wangeweza kufanya lolote na kama kawaida yetu kwa upole wetu tungekubali na kutoa pongezi lukuki na wengine mkapata magonjwa yasiyoambukizwa, wanahitaji kushukuriwa.
 
Magufuli alikua hafuati katiba katika kuongoza nchi kwahiyo hilo wala tusolishangae ndio maana watu kama bashite walikua na sauti kumzidi hata waziri mkuu au makamu wa rais.
katiba iliishavunjwa kwa covid 19 kuingia bungeni maji hufuata mkondo. Tujifunze kuondoa desturi za kuvunja katiba. unaona sasa. liwe funzo kwa viongozi. ukiwazoesha hivyo watu huona kama jambo la kawaida
 
..Na aliyekuwa akimtonya Tundu Lissu kuwa mbaya wake yuko mahututi ni nani?

..Maana Lissu alikuwa na taarifa kuzidi Samia, Kassimu, Bashiru, hata Mama Janet.
Hatari sana! Ugonjwa wa Rais Magufuli ulijulikana zaidi kwa kina Tundu Lisu, Kigogo nk huku Makamu wa Rais akiwa hajui lolote!! Tena Rais akiwa amelazwa Hospitali ya viongozi! Wenye akili wazitumie vizuri kufikiri na kutoa majibu!! Kilichompata Rais Magufuli kinaweza kumpata yoyote! Ni vyema mifumo ikaangaliwa kwa jicho la tatu!!!! Nyoka akiuma huwa anajificha mpaka meno yaote tena na anarudi kuuma!!!
 
1. Aliyestahili kumpatia taarifa Makamo wa Rais juu ya kifo cha Rais Magufuli ni daktari wa Rais.
2. CDF Mabeyo alikuwa mkuu wa majeshi ndiyo, yeye pamoja na viongozi wengine wa vyombo vya usalama walitakiwa pia kupatiwa taarifa na Makamo wa Rais (Baada ya yeye kuwa mtu wa kwanza kabisa kufahamishwa) ili kuhakikisha tu usalama wa nchi upo vizuri.

3. Makamo wa Rais ndiye alitakiwa kuwa mtu wa kwanza kila hatua kujua afya ya Rais inaendeleaje.

4. CDF anachukua majukumu ya kuwa msaidizi mkuu wa Rais na mtoa taarifa kwa Makamo kuwa Rais amefariki (Kosa kubwa) mbaya zaidi Makamo wa Rais anakuwa mtu wa nne kuambiwa baada ya Waziri mkuu, CS na Taasisi ya kiswahili (Baada ya kujadili mpaka cheo cha Amiri jeshi mkuu)

Kosa ni la nani? Hayati Magufuli kujiundia kikundi chake cha siri kwa mambo yao huku wakimuondoa Makamo? Wasaidizi wake wakati Rais ni mgonjwa? Makamo wa Rais yupo Tanga anaongea kawaida tu huku Rais yupo kitandani akipigania uhai na wala hajulishwi hadi umauti tena masaa manne mbele baada ya mijadala ambayo kimsingi watu hawaijui katiba. Inafikirisha.

Sishangai kuona daktari binafsi wa hayati Rais Magufuli Prof. Mabula Mchembe kupotea ulingoni baada ya Samia kuwa Rais? Hivi yuko wapi huyu mtu?
Acha bangeeeee!! Daktari wa Rais ndiye mtoa taarifa za Rais? Kasome tena Katiba!!
 
Wabongo bwana ujuaji mwingi Sana

Hivi unadhania mpaka mtu anakuwa CDF ni Jambo simple simple Sana eh

So wewe unajua utaratibu kuliko mkuu wa majeshi?

Tuache kujifanya wajuaji sana
Kama hujui katiba ni vizuri ukapiga kimya.Makamu wa Rais ndio kila kitu hayo mengine mnayakuza tu.
 
Kama hujui katiba ni vizuri ukapiga kimya.Makamu wa Rais ndio kila kitu hayo mengine mnayakuza tu.

Kifo kimetokea mbele ya viongozi wakuu wa ulinzi na usalama

Eh ulitaka katiba ifatwe Kwa kufanyaje?

CDF ampigie simu vice? Ndio katiba inasema hivyo?

Kwanini sio katibu mkuu kiongozi ampigie vice na kumpa taarifa?

Ndio maana akaitwa katibu mkuu kiongozi aende dar kutoka dodoma

Then ndio mambo ya katiba yakafatwa Kwa vice kupewa taarifa
 
Hatari sana! Ugonjwa wa Rais Magufuli ulijulikana zaidi kwa kina Tundu Lisu, Kigogo nk huku Makamu wa Rais akiwa hajui lolote!! Tena Rais akiwa amelazwa Hospitali ya viongozi! Wenye akili wazitumie vizuri kufikiri na kutoa majibu!! Kilichompata Rais Magufuli kinaweza kumpata yoyote! Ni vyema mifumo ikaangaliwa kwa jicho la tatu!!!! Nyoka akiuma huwa anajificha mpaka meno yaote tena na anarudi kuuma!!!

..wakati mwingine nashawishika kuamini kwamba kilichotokea ni matokeo ya style ya uongozi au utawala aliyokuwa nayo Magufuli.

..majuzi, Mh.Makamba amenukuliwa akisema, mbele ya Rais Samia, kwamba kuna baadhi ya wateule wa Magufuli walikuwa wakimdharau na kumtenga Samia alipokuwa Makamu wa Rais.

..Zaidi, kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa katiba, sheria, na taratibu, uliokuwa ukifanywa na Magufuli na baadhi ya wateule wake.

..Kwa hiyo, utaona kwamba uongozi wa Magufuli haukuwa shirikishi. Kati ya wateule kuna aliowafanya wa daraja la juu, na wengine wa daraja la chini.

..Bila shaka, Samia alikuwa kati ya kundi la wateule wa daraja la chini.

..Kwa bahati mbaya Magufuli akaugua. Na kwasababu alimtenga Makamu wake, ikawa vigumu kumshirikisha ktk usimamizi wa matibabu yake.

..Suala la kusimamia na kuratibu matibabu ya Magufuli likawa chini ya genge lake, badala ya Makamu wa Raisi kama inavyoelekezwa ktk Katiba, Sheria, na taratibu.

..Mwisho wa yote ni genge la Magufuli kuwa ktk mazingira ambayo hawakutarajia watakutana nayo.

..Magufuli aliwafia, lakini hakuna miongoni mwao aliyekuwa na madaraka kikatiba ya kutangaza kifo chake, kumzika, au kuchukua nafasi yake.

Cc Nguruvi3, Kiranga
 
..wakati mwingine nashawishika kuamini kwamba kilichotokea ni matokeo ya style ya uongozi au utawala aliyokuwa nayo Magufuli.

..majuzi Mh.Makamba amenukuliwa akisema, mbele ya Rais Samia, kwamba kuna baadhi ya wateule wa Magufuli walikuwa wakimdharau na kujitenga Samia alipokuwa Makamu wa Rais.

..Zaidi kulikuwa na ukiukwaji mkubwa wa katiba, sheria, na taratibu, uliokuwa ukifanywa na Magufuli na baadhi ya wateule wake.

..Kwa hiyo utaona kwamba uongozi wa Magufuli haukuwa shirikishi. Kati ya wateule kuna aliowafanya wa daraja la juu, na wengine wa daraja la chini.

..Sasa inaelekea Samia alikuwa kati ya kundi la wateule wa daraja la chini.

..Kwa bahati mbaya Magufuli akaugua. Na kwasababu alimtenga Makamu wake, ikawa vigumu kumshirikisha ktk usimamizi wa matibabu yake.

..Suala la kusimamia na kuratibu matibabu ya Magufuli likawa chini ya genge lake, badala ya Makamu wa Raisi kama inavyoelekezwa ktk Katiba, Sheria, na taratibu.

..Mwisho wa yote genge la Magufuli kuwa ktk mazingira ambayo hawakutarajia watakutana nayo. Magufuli aliwafia, lakini hakuna miongoni mwao aliyekuwa na madaraka kikatiba ya kutangaza kifo chake, kumzika, au kuchukua nafasi yake.

Cc Nguruvi3, Kiranga
Magufuli ndiye aliyeagiza makamu wake asiwe karibu naye wakati anaumwa.

Haiyumkiniki rais anaumwa, mpaka anaita paroko, mpaka anaita kardinali, lakini hajamuita makamu wake.

Unafikiri Magufuli angesema nileteeni Samia hapa, kuna mtu angepinga?
 
Magufuli ndiye aliyeagiza makamu wake asiwe karibu naye wakati anaumwa.

Haiyumkiniki rais anaumwa, moaka anaita paroko, mpaka anaita kardinali, lakini hajamuita makamu wake.

Unafikiri Magufuli angesema nileteeni Samia hapa, kuna mtu angepinga?

..Yap!

..Yaani Samia kaenda Nairobi Hospital kumjulia hali Tundu Lissu, lakini akashindwa kwenda Mzena kumpa pole Magufuli?!

..Nadhani Rais na Makamu wake walikuwa kama paka na panya.
 
Mama hakuwa Priority kwa Rais JPM. JPM kama angekuwa smart enough , awamu ya pili ilitakiwa aje na makamu mpya, hata Mpango

Hata ishu za ikulu zilikuwa zinavuja inasemekana chanzo ni Mam ,

Mkumbuke mama alitaka kujiuzulu, JPM alikuwa ni mtu wa kuona mambo yanafanyika halafu siasa kidogo, ndio maana alikuwa mkali sana , na ukiwa ni mtu wa kufanya mambo yatokee basi kufanya kazi na watz unaweza hata kupiga watu makofi. Watz ni wavivu watu wa connection na ujanja ujanja

Mama hakuwa anaenda na kasi ya JPM. Walizoea zile siasa za kila kijiji kupewa 50M

Katika nyanja za ulinzi na usalama mtu hata kama ni mke wako akishaonesha any dishonesty au potential threat, unatakiwa kutumia ELIMINATION policy completely Kama alivofanya putin kwa kiongozi wa lile kundi

Hakukuwa na haja ya kumbembeleza mam asijiudhuru, alitakiwa atoe immediately go
Ahead , tayari alishakuwa potentiel threat ,

Eliminate completely

Shida kubwa JPM. alikuwa mshamba na ngosha. Alitakiwa kumuweka Mam pembeni round ya pili kama alivofanya JK kwa Edo.

Hakikisheni watoto zenu mnawazaa town
Vitu vingine hufundishwi unatakiwa kuona kwa jicho la eagle
kwamba wewe muelevu kuliko Magufuli?? angefanya ivyo kelele zingezida maradufu upinzani na ndani ya Chama, akapiga moyo konde mambo yaendelee.
 
Tama
Sio kila mtu anaweza kuhandle taarifa za msiba wa mtu

Na Kwa tamaduni za kiafrica wanaume kwanza ndio wanapeana taarifa

Haijalishi huyo mwanamke ana cheo gani, but cha kwanza wanaume lazima wakutane wapange mambo yatakuwaje

So mabeyo Yuko sahihi kabisa
duni na katiba vinaingilianaje???
 
Back
Top Bottom