CDF Mstaafu Mabeyo ameweka alama kwa Majeshi ya Afrika

CDF Mstaafu Mabeyo ameweka alama kwa Majeshi ya Afrika

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
589
Reaction score
1,897
Kwa mtazamo wangu mkuu wa Majeshi, aliepita ( Mabeyo).ameweka Alama au histolia kwa Majeshi ya Afrika, ninachowaza ni kua ameacha Alama na Elimu kwa Majeshi mengine ya Afrika.

Na hili nimeliwaza baada ya Rais kufa,Mkuu wa Majeshi alikua imara kusimamia majukumu yake hiki ndicho, Mimi nimewaza kua ameweka rekodi ya Pekee kabisa, Rais kufa Madarakani na kufuata mfumo wa katiba unachotaka.

Hili ndilo naona litakuja kutumika katika Majeshi ya Nchi Zingine za Afrika kuwafunza litakua ni Muongoni mwa mifano au Funzo kwa wanajeshi na Majeshi ya Afrika huo mtazamo wangu

History ya Mabeyo hata ikiandikiwa kitabu/ Documentary mi naona itakua nibonge la Funzo na Elimu ya uadilifu wa Mwanajeshi na Jeshi kwa ujumla.

Mi Binafsi namsifu na kumuona ni mtu. Binafsi mwenye uadilifu na anefuata muongozo wa kazi yake
Kiafrika jamaa kafanya kazi nzuri sana. Hajaonyesha uchu wa madalaka.

Note: kwa mtazamo wangu nilionao Rukhusa kuelekezwa na kukosolewa
FB_IMG_1654854046159.jpg
 
"madalaka"-madaraka,
luksa-Rukhsa
Hauwezi kuwa na hoja nzuri kama hayo maneno tu hauwezi kuyaandika ipasavyo..Huyo ndie kasababisha tumerudi nyuma zaidi kwa kukosa kwake maono ya kiuongozi.
 
Mabeyo anatakiwa kutuomba radhi watanzania.Maana wenzake waliona mita elfumoja lakini yeye liona mita Moja mbele.Ona Sasa Nchi ilivyoharibiwa na huyu mama
 
"madalaka"-madaraka,
luksa-Rukhsa
Hauwezi kuwa na hoja nzuri kama hayo maneno tu hauwezi kuyaandika ipasavyo..Huyo ndie kasababisha tumerudi nyuma zaidi kwa kukosa kwake maono ya kiuongozi.
Uko sahihi,ila Amefuata Jinsi kazi yake inavyotaka
 
Naam kama watu hawafurahia jeshi kusimamia katiba, si muda wa kuungana kudemand katiba mpya.
 
Kwa mtazamo wangu mkuu wa Majeshi, aliepita ( Mabeyo).ameweka Alama au histolia kwa Majeshi ya Afrika, ninachowaza ni kua ameacha Alama na Elimu kwa Majeshi mengine ya Afrika.

Na hili nimeliwaza baada ya Rais kufa,Mkuu wa Majeshi alikua imara kusimamia majukumu yake hiki ndicho, Mimi nimewaza kua ameweka rekodi ya Pekee kabisa, Rais kufa Madarakani na kufuata mfumo wa katiba unachotaka.

Hili ndilo naona litakuja kutumika katika Majeshi ya Nchi Zingine za Afrika kuwafunza litakua ni Muongoni mwa mifano au Funzo kwa wanajeshi na Majeshi ya Afrika huo mtazamo wangu

History ya Mabeyo hata ikiandikiwa kitabu/ Documentary mi naona itakua nibonge la Funzo na Elimu ya uadilifu wa Mwanajeshi na Jeshi kwa ujumla.

Mi Binafsi namsifu na kumuona ni mtu. Binafsi mwenye uadilifu na anefuata muongozo wa kazi yake
Kiafrika jamaa kafanya kazi nzuri sana. Hajaonyesha uchu wa madalaka.

Note: kwa mtazamo wangu nilionao Rukhusa kuelekezwa na kukosolewaView attachment 3184118
Hamna kitu, mbona kawaida tu
 
Back
Top Bottom