jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wapinga Kristo
Wapinga kristo ni wale wasio muamini kristo kama mwana wa Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapinga Kristo
marais wengi huenda 'kusujudu' vatican kwa papa hata kama ni waislam kama ouawatara lazima watie saluti kule au kwa mabalozi wa vatican waliopo katika nchi mbalimbali duniani. Kanisa katoliki ni dola kuu duniani !Hii ni Moja ya taasisi yenye kuogopeka na mipango ya Siri Dunia mzima wakitaka lao nchi yeyote linafanyika Kwa mipango madhubuti.Ogopa sana katoliki.
Hii ni Moja ya taasisi yenye kuogopeka na mipango ya Siri Dunia mzima wakitaka lao nchi yeyote linafanyika Kwa mipango madhubuti.Ogopa sana katoliki.
Papa alivyokuja Africa watu walijaa hata wasio wa Roma walienda kuabudu, nilitamani angefika na huku.marais wengi huenda 'kusujudu' vatican kwa papa hata kama ni waislam kama ouawatara lazima watie saluti kule au kwa mabalozi wa vatican waliopo katika nchi mbalimbali duniani. Kanisa katoliki ni dola kuu duniani !
Labda nikukumbushe tu kuwa hakuna mkubwa nchi hii...every key figure this country is always under close surveillance na uki dare ku mess up chuma kinakuhusu..haijalish wewe ni mabeyoo au jiwe au imrani au nani ukijaribu kuvuka red line umekwisha.. so kuwen na aman tuIna fikirisha sana!!
Sidhani hao jamaa kama wanafurahishwa na upepo unavovuma pande hizi!
Hao jamaa ni wasiri SANA katika mambo yao!!
Baada ya hija yao tusubiri nini kitajiri pande hizi!
Mabeyo hajaenda kule Bure mazee!wana yao hao jamaa KWA kuwa mabeyo SIO mtawa ni mtumishi tu mstaafu!!
Kwanini aende na watawa!!?angeeenda mwenyewe pia ingezua maswali!!
Mungu ibariki Tanzania yetu,ni YETU sote wala sio ya wachache!!!
mwaka 1990 enzi za utawala wa raisi wa awamu ya pili alhaj Ally Hassan Mwinyi papa Yohane Paulo wa pili alikujaTanzania. Tangu wakati huo wamekuwepo mapapa wawili na hawajawahi kuitembelea TanzaniaPapa alivyokuja Africa watu walijaa hata wasio wa Roma walienda kuabudu, nilitamani angefika na huku.
Jeshi la wokovu lile la pale kilwa road Kwenye flayover au???sababu kuliweka jeshi la wokovu tanzania ndio maana mabeyo kapongezwa lakini mbona waislamu hawana jeshi tanzania kama jeshi la wokovu na hakuna mbunge anaeuliza hili
salvation Army ni dhehebu au jeshi halisi? Kwani ni la wakatoliki?sababu kuliweka jeshi la wokovu tanzania ndio maana mabeyo kapongezwa lakini mbona waislamu hawana jeshi tanzania kama jeshi la wokovu na hakuna mbunge anaeuliza hili
kwani waislam ni kitu gani mpaka utokwe povu kiasi hiki?Sasa waislamu wameingiaje hapa??
Kuna kipindi huwa ni busara kufyata mdomo wako ili kubakiza shaka ya kuwa aidha umuerevu ama mpumbavu kuliko kufungua mdomo na kuondosha shaka yeyote juu ya upumbavu wako.
Mabeyo aende kwa wakatoliki uje kutaja waislamu.
Kwa taarifa yako, vatican ina mabalozi katika chi nyingi duniani ambao ni maaskofu. Ila huko vatican hakuna balozi wa nchi yoyote aliyeteuliwa na Rais yeyote duniani.Tanzania hatujawahi kuwa na balozi mkristu kati nchi za kihafidhina za kislamu kama Saudia ila Samia kamteua mwislamu kuwa balozi wetu Vatican, hili limekaaje
Huo ndiyo wito mkuu. Hakuna anayelazimishwa.Just imagine kundi moja halitakiwi kuoa,kundi jinginehalitakiwi kuolewa ila wanataka jumapili Kanisa liwe limejaa watu.
2. Wakakufungishia ndoa wanakupa mke au mume ila wao hawahitaji ndoa.
3. Ukiwa mtumishi huko ukaajiriwa na serikali mshahara wote ni wao
Umehutimu mwaka gani shule ya kataKwa taarifa yako, vatican ina mabalozi katika chi nyingi duniani ambao ni maaskofu. Ila huko vatican hakuna balozi wa nchi yoyote aliyeteuliwa na Rais yeyote duniani.
Ila wanapenda sketiHuo ndiyo wito mkuu. Hakuna anayelazimishwa.