Tulianza kipindi Cha mwendakuzimu Ila Sasa hivi hiyo tabia imeanza kupotea.Hivi Tanzania tumeanza lini kuulizana makabila?
Nyerere alishaonya kuwa hii tabia mkiianza hamtaiacha, hivyo mjiandae kuanza kuulizana koo zenu. (Ni mkagulu wa ukoo upi?)Tulianza kipindi Cha mwendakuzimu Ila Sasa hivi hiyo tabia imeanza kupotea.
Ukabila utatuua jamaniNdugu zake wengi wako wilaya ya Mpwapwa maeneo ya kijiji cha Bumila pia wako kitongoji cha Ng`ambo mjini Mpwapwa, amefanana kabisa na Mkunda yule aliyekuwa amemwoa Dr. Mkunda yule alikuwa daktari wa meno hospitali ya wilaya Mpwapwa na Dodoma (wote wawili ni marehemu kwa sasa) . CDF huyu ni Mkagulu siyo Msukuma kama wengine walivyozani.
Udini na ukabila imekuwa ni sifa kuuNyerere alishaonya kuwa hii tabia mkiianza hamtaiacha, hivyo mjiandae kuanza kuulizana koo zenu. (Ni mkagulu wa ukoo upi?)
Hii tabia imeota miziziHivi Tanzania tumeanza lini kuulizana makabila?
Hii kitu ni hatari sana.Hivi Tanzania tumeanza lini kuulizana makabila?
Tangu Mama awe Kiongozi wa ma chief!!Hivi Tanzania tumeanza lini kuulizana makabila?
Inasikitisha sanaUdini na ukabila imekuwa ni sifa kuu
Tusipokata hii mizizi ipo siku itatugharimu kama taifa.Hii tabia imeota mizizi
Unajipa moyo sanaNdugu zake wengi wako wilaya ya Mpwapwa maeneo ya kijiji cha Bumila pia wako kitongoji cha Ng`ambo mjini Mpwapwa, amefanana kabisa na Mkunda yule aliyekuwa amemwoa Dr. Mkunda yule alikuwa daktari wa meno hospitali ya wilaya Mpwapwa na Dodoma (wote wawili ni marehemu kwa sasa) . CDF huyu ni Mkagulu siyo Msukuma kama wengine walivyozani.
Shida ni hawa wasukuma wanaamini kwenye Sukuma Gang Nation.Hivi Tanzania tumeanza lini kuulizana makabila?
CCM imetufikisha hapoInasikitisha sana
Lazima tubadilishe mfumo watu waanze kufanyiwa interview waziwazi isipokuwa nafasi ya Rais na Waziri Mkuu zingine zote zitangazwe hadharaniTusipokata hii mizizi ipo siku itatugharimu kama taifa.
Ukabila ukabila na ubaguzi ubaguzi ni Ujinga tuukatae !! CDF ni mtanzania sio mkaguru !! Hongera CDF Jacob Mkunda !! Tunakuombea Afya njema na kazi njema !!CDF ni mtanzania sio mkaguru