CDM Mikoani toeni matamko ya kumuunga mkono TAL - FAM amechuja sana

CDM Mikoani toeni matamko ya kumuunga mkono TAL - FAM amechuja sana

Kabende Msakila

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2020
Posts
1,809
Reaction score
1,692
  • Naipongeza shinyanga
  • Napongeza Arusha
  • Napongeza Pwani

Wengine jionesheni, muda wa kuanguka na kupumzika siasa kwa FAM umefika. Ni aibu taasisi kubwa inayopigania maendeleo ya demokrasia duniani kuwa na kiongozi kama FAM anayeishi kama mfalme.

Nashauri tu.
 
Mikoani muda sanaaa,na ndo hawa wanapiga spana pia magroup/mitandaoni mwanzo mwisho.
In short machawa wale waliopandikizwa kwa hisani ya uenyekiti wa mkoa/kanda ndo matumbo yao yanawawasha kwa ajili ya viposho ila mikoani wamenyooka kabisaaaaa
 
Back
Top Bottom