Ceaser Manzoki Ajiunga Kambini na Vipers SC Kwa Ajili ya Maandalizi ya Msimu Ujao UPL


Inabidi Mkakope sasa kwa Mo Dewji.
 
Kama walikuwa wametenga milioni 800 tu za usajili na zenyewe za Ku un ga unga unategemea iyo 100 wainyee wapi? Walikuwa wanavizia avunje mkataba wampate kwa bei kitonga sasa wamekaziwa waende wakamlambe miguu tena kanjibhai awape mabango ndo atoe pesa yake ndo maisha waliyobaki nayo kwa sasa
 
Sasa barcelona hawakungoja mkataba wa Lewandowski uishe.

Walikuwa na pesa za kumnunua.


Nyinyi hamna pesa...[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna utafurahishwaaa. Kuwa mpoleeeeh
Soon tyuuh.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna utafurahishwaaa. Kuwa mpoleeeeh
Soon tyuuh.

Mtani umeishiw pesa aisee[emoji23][emoji23]

Msimu huu mna haha kimya kimya.
 

[emoji23][emoji23]

Wanapenda vitonga.
 
Mtani umeishiw pesa aisee[emoji23][emoji23]

Msimu huu mna haha kimya kimya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pesa zipo sanaaa, wala hatuna shida hizo.
Subiri ufurahishwee. Woiiiiiih.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…