demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Msaada kubwa unahitajika Msimbazi kuhakikisha wanachangia pesa takribani Milion 100 ili kuhakikisha wanaenda kuvunja mkataba wa Manzoki.
Vinginevyo Rais wa klabu ya Vipers SC ameweka bayana kuwa mchezaji huyo hatoondoka klabuni hapo mpaka pale mkataba wake utakapo isha mnamo Oktoba 30, 2022.
Ikumbukwe kuwa rais wa klabu hiyo anatarajia kuwasilisha jina la manzoki CAF kwa ajili ya michuano ya CAF CL itakayo anza hapo baadaye.
View attachment 2295234
Vinginevyo Rais wa klabu ya Vipers SC ameweka bayana kuwa mchezaji huyo hatoondoka klabuni hapo mpaka pale mkataba wake utakapo isha mnamo Oktoba 30, 2022.
Ikumbukwe kuwa rais wa klabu hiyo anatarajia kuwasilisha jina la manzoki CAF kwa ajili ya michuano ya CAF CL itakayo anza hapo baadaye.
View attachment 2295234