Ceaser Manzoki hawezi hata kuwa Back Up kwa Mayele

Ukiambiwa umsajili George Mpole au Fiston Mayele utamsajili nani?
 
....Tatizo hilo liliwapelekea kushinda game 1 kati ya game 7 ambazo wamecheza na Yanga.
Kwa nini ukubwa wa tatizo upimwe kwa kuweza kuifunga Yanga, na sio C Vita Club, Orlando Pirates, Kaizer Chiefs na ASEC Mimosas? Au kwa nini usipimwe kwa kuchukua ubingwa mara nne kati ya mara saba zilizopita?
 
Manzoki hawezi kuanza kikosi cha kwanza pale jangwani isipokuwa anaweza kuanza kule msimbazi.
Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Manzoki alikuwa anamuweka benchi Mayele pale AS Vita

 

Attachments

  • 1660914173287.png
    98.8 KB · Views: 5
Ko we unaona mechi ya muhimu ni dhidi ya yanga tu??Duh[emoji22]
 
Mmepeleka ofa na mchezaji kakataa, na nyie ndiyo mmefanya dili kuwa gumu kwa Simba baada ya kuona Kambole Ni garasa.

Yanga mmemtaka Manzoki na amekataa na dunia nzima inajua.Yanga ilihitaji striker mwingine wa maana wa kucheza na mayele au mbadala wa mayele.
 
Ati Mayele ana nini? muuulize Inonga mimwanya
Nimuulize inonga Kwan inonga kazi yake ni kumkaba mayele tu ,alafu nyie ndo mnfanya asibebe ufungaj Bora maana mnlzimisha lakin ndo haiwekan kbisa kuja kubeba kiatu hapa tz coz ni wa kawaida Sana.
Inonga ni beki km walivyo wengine, ndio maana hata yanga tokea ianze lig haijaanza kwa cleensheet lakin haimanish mna beki mbovu ,lbda ukubar kuwa mliporuhusu goli Basi mna beki mbovu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…