CECAFA, 6/12/2017: Zanzibar Heroes vs Kilimanjaro Stars

Nitafutie chumba ndugu zanzibar Mitaa ya forodhani nataka nihamie huko yote nlikua nayataka kwenye Soka naona yanapatikana Zenji.
Hahaha karibu mkuu.
Zanzibar ni njema na atakae aje.
TFF wanajua uwezo wa soka kwa vijana wa Zanzibar ndio maana figisufigisu wakishirikiana na ZFA ili kupoteza uhalisia.Ila asili haipotei.

Mie ningekuwa Kocha wa Tanganyika,basi ningechagua wachezaji wa Daraja la kwanza kushuka chini.Premier hainawachezaji wazalendo kwa Taifa lao,wengi wanaangalia na kujali maslahi yao kwenye clubs zao
 

Kweli kabisa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…