Kireka1980
JF-Expert Member
- Mar 18, 2008
- 302
- 44
kama Rwanda ndio weak kwakuwa walipigwa 4-0 na Uganda, na hao hao Rwanda waliwachapa Somalia 3-0, na hao Somalia waliwapiga Tanzania 1-0, je ni timu ipi itakuwa weak kati ya Rwanda, Tanzania na Somalia????
Duuu.....this is very low.....Yanga kumbe wako Uganda?
is there a diffent btn YANGA n TAIFA STAR/KILI STARS
hongera yanga kwa ushindi
Kondic = Yanga, Maximo = Taifa Stars hao ni makocha!!
Tanzania football = Yanga (Kikwete -Yanga, Karume- Yanga, Tenga - Yanga)
very low... Low indeed!!!
Yes sir ulikuwa hujuiDuuu.....this is very low.....Yanga kumbe wako Uganda?
Yes sir ulikuwa hujui
Anatafuta presha kwa kushabikia Simba..........Yo Yo unataka fungiwa bure...hujui invisible hapendi kusikia habari za Yanga?
Yes sir ulikuwa hujui
lol wee jamaa mikosi......anyway Yanga imeshinda 2-0 dhidi ya RwandaTafadhali tupe matokeo ya hii mechi bila shaka kwa sasa mpira umekwisha!!!!!
...Kwani ukiitwa Mushi lazima uwe mchaga?? Niko Nachingwea kuna Mmakuwa hapa anaitwa Alphonce Mushi...inakuwaje???Nani alisema kuwa wachagga hawachezi mpira wakati golikipa wa Tanzania leo ni Deo Mushi?
lol wee jamaa mikosi......anyway Yanga imeshinda 2-0 dhidi ya Rwanda
So umepata jibu kuwa Yanga kamshinda Rwanda 2-0?Asante kwa majibu lakini mimi nilitaka matokeo tu ya Kili Stars sio unazi wa Simba na Yanga!!!!!
Mkuu taifa stars ndio Yanga periodmkuu inaonekana wewe ni mwananchi!!!!
Je, wewe ndiye uliandika makala kwenye gazeti moja siku staz inakipiga na wanubi(sudan) kuwa Yanga kucheza na Sudan????
maana hiyo post yako kwamba Yanga 2-0 Rwanda, inashabihiana sana.Mkuu kichwa yako inachemka sana. Nasikia mmeshamchoka Kondic mnataka kumtimua ili muweze kumleta Milovan Cirkovic aliyeitupia virago simba, nyie hamuogopi kumwagwa tena kama alivyowafanya Micho?halafu inaonekana mnawahusudu sana hawa waserbia, wana ladha gani?
very low... Low indeed!!!