CECAFA Final, 2017: Harambee Stars (Kenya) 2 - 2 Zanzibar Heroes, Kenya mabingwa kwa penati 3-2

CECAFA Final, 2017: Harambee Stars (Kenya) 2 - 2 Zanzibar Heroes, Kenya mabingwa kwa penati 3-2

Ongereni Zanzibar kusema Kweli umeshindwa kiume ,umeonyesha Umahili wa kusakata kabumbu wala huwezi kulaumiwa kwa lolote Bahati haikuwa yako ila ongera sana bila kinyongo ,Harambe Star. Ni Timu kubwa na yenye uzoefu wa kushiriki michuano mikubwa kimsingi Zanzibar imecheza mpira Kweli kweli,Rais wa Zanzibar fanya kitu kwa mashuja hawa
 
Haki yao kuwatukana mnacheza mpira kwenye magazeti na vijiweni sasa mumeonyeshwa mdebedo na urojo ni bara. Maneenooo mingi kumbe hamna kitu mkiambiwa eti oohh matusi
Nguvu ya Urojo mwisho kwenye penati
 
Kenya nchi 1-0 Zanzibar Jimbo
Mungu ibariki Kenya

Mkuu hapa ni wapi nataka nikaweke makazi

chakula.jpg
 
Tusisahau waliahidiwa kurudishwa na ndege kama wangefika nusu fainali au kucheza fainali,wanasiasa washenzi sana,yaani badala wawaahidi kuwajengea kila mmoja hata chumba kimoja na sebule eti wanawaahidi kupanda ndege.inaweza ikawa hata ndicho kilichosababisha wakafungwa.
 
Yakheee ndebwedoooo wantufunga.lakini chenga twalaaaa.
 
walisherehekea kwa kutuma video yenye jokes za matusi washikiliwa na polisi Zanzibar,sasa sijui kesi yao watashtakiwa kwa kumtusi nani...,
 
bora wamepigwa tu
Maana wametutukana sana sisi wa Bara
Kubafu zao wakale urojo wao ukoo
 
Back
Top Bottom