CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Umeme kumekatika kumekuwa Uwanja Rangi Nyekundu(Simba) sio Kijani ya Tanesco(Yanga) hawa Tanesco hawajui kujitangazia biashara kweli tehteh
 
Ahahahahaaah!! Inaonyesha watu wengi uwanjani wana simu zenye tochi.
 
Hii ni aibu ya mwaka......

Ina maana uwanjani hakuna standby generator?.................Hii ni hatari sana...

Ni bora umeme umekatika mpira ukiwa umekwisha
 
Siamini umeme unamekatika, aibu aibu aibu mno wabongo, uwanjani! Sijui tuna matatizo gani watanzania?! Yaani TANESCO wameshindwa hata kutuhifadhia siri zetu? Sasa dunia nzima inajua tunavyosumbuka na huu umeme!
 
Vibatari time Vibatari Time wizi time wizi time....
 
Simba tulitakiwa kubaki Uwanjani kuonesha utuu wa kitanzania mashabiki sio kuondoka uwanjani si vizuri kuondoka kisa tumefungwa.
Kaka tunatofautiana uvumilivu, acha tutoke!
 
Siamini umeme unamekatika, aibu aibu aibu mno wabongo, uwanjani! Sijui tuna matatizo gani watanzania?! Yaani TANESCO wameshindwa hata kutuhifadhia siri zetu? Sasa dunia nzima inajua tunavyosumbuka na huu umeme!



Hahahaah Siri siku zote haiwi ya watu wawili ina mwisho wake.
 
Dah!! Eti gari ya rescue ndio inamulika pale wachezaji wapewe kombe.
 
Kituko cha mwaka......

Ambulance inatumika kumulika jukwaa la zawadi...!!!!!!!!!!!!.................Makubwa

Halafu Super Sport wapo live........
 
jamani hii aibu ya mwaka, hivi supersport inaonyeshaje au wanaemaje, khaaaaaaaaaa
 
Hiii aibu hata south sudan watatupiga bao washatupiga bao.
 
Hivi hawa tanesco wameshindwa kutuhifadhia aibu hii?? Dah aibu gani hii wadau....
 
Oyaa wazee.acheni kuzomeana msije mkasababisha vifo,maana kuna watu walikurupuka wakaweka madau makupwa bila tathimini za mpira kuwa simba amebakiza kichwa(jina) tu kakonda kwa njaa. Kama kuna mtu aliweka dau na amegeuka hataki kutoa ni bora ashauliwe aje ashiriki ushidi party baada ya mazishi ya kinyama hiki.
 
Du! naona gari ndio inamulikia hahahaaa! Bongo tambarareeee! awekezaji mpooooo! Hili linchi limeoza jamani! Maajabu ya Dunia!
 
SIMBA tusitafute mchawi.....Viongozi wetu ni MAGAMBA, hatukuwa na sababu ya kumwondoa PATRICK PHIRI katika BENCHI LA UFUNDI!
 
ulipogoma wimbo wa taifa walimtoa kafara msemaji wa tff, this time sijui itakuwa zamu ya nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…