CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Pamoja na kwamba Simba ni watani lakin kuwaombea waishie robo fainali ingekuwa mbaya sana.
 
Asante kwa taarifa, maana ngereja kachukua umeme kitambo...

Hongera sanaa mnyamaa
 
timu ya simba ya tanzania imetinga nusu fainali ya michuano ya kombe la bagame baada ya kuifunga timu ya bunamwaya ya uganda goli mbili kwa moja. Sasa timu ya simba sasa itakutana na timu ya el mereikh ya sudan.

Kama kawaida wamebebwa! Kiboko yao itakuwa El Mereikh
 
ukweli utabaki pale pale hatuna uzalendo tunashangilia team pinzani za nje yan Usimba na Uyanga nomaaaaaa..!

Kwa hiyo wewe kesho hautashabikia Yanga?.....Mbona mie Yanga leo nimeshabikia Simba?....

Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......
 
Nasubili mambo ya Young Africans aka Yanga hapo kesho
Its my hope watakutana na St Geogre semi final
 
Kwa hiyo wewe kesho hautashabikia Yanga?.....Mbona mie Yanga leo nimeshabikia Simba?....

Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......

Yeye anataka aendeleze Unazi
Hata hivyo hautamsaidia. Mi natamani Simba waishangilie Red Sea kesho ili Yanga wasibweteke
 
timu ya simba ya tanzania imetinga nusu fainali ya michuano ya kombe la bagame baada ya kuifunga timu ya bunamwaya ya uganda goli mbili kwa moja. Sasa timu ya simba sasa itakutana na timu ya el mereikh ya sudan.

Hongereni watani...
 
Mtani
Mkajiandae kwa penati maana hao El Mereikh wanapiga penati balaa
Hongereni kwa kuruhusu bao na kufuzu semi final, maana nilisema kundi lenu lilikuwa madudu tu
Sasa subili uone Red Sea kesho

Asante mtani, Leo sijaweza kwenda uwanjani sio kwamba nilikuwa nimeogopa, ila majukumu yalibana, kesho nitatia timu lakini sitashangilia timu yoyote kazi yangu itakuwa kuangalia soka na nitawatakia Yanga Ushindi na kwa sababu timu yenu ina wafungaji wazuri obvious mtapita, na kuna uwezekano wa kukutana na St.George ambao wammevua ubingwa APR.
 
Yanga Imara nina waaaminia!

Mi naona kama mechi ngumu za kutambua timu za semi final ilikuwa ni leo
Kesho naona wazi St Geogre na Yanga zitafuzu ndani ya 90mins
Yatokee maajabu tu ndo isiwe hivyo (Sijafuta kabisa uwezekano wa Yanga na St Geogre kutolewa, ila kutolewa ni 10%)
 
Kwa hiyo wewe kesho hautashabikia Yanga?.....Mbona mie Yanga leo nimeshabikia Simba?....

Hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.......

Balatanda wewe ni mtu wa kuigwa katika soka la Tanzania, tatizo pale uwanjani huwa kuna mambo ya ajabu, mtu ukienda upande wa Yanga na nguo nyekundu unaweza kufa na hivyo hivyo ukienda upande wa Simba na nguo ya njano unaweza kufa vilevile, mfano mimi ni mshabiki wa simba na nitakaa jukwaa la simba kwa ajili ya kucheki soka, sitashangilia timu yoyote ila nitataka sana Yanga washinde, zikiingia timu mbili nusu fainali uwezekano wa kufika fainali mojawapo ni mkubwa na kombe likibaki Tanzania heshima itakuja iwe ni kwa Yanga au Simba.
 
Asante mtani, Leo sijaweza kwenda uwanjani sio kwamba nilikuwa nimeogopa, ila majukumu yalibana, kesho nitatia timu lakini sitashangilia timu yoyote kazi yangu itakuwa kuangalia soka na nitawatakia Yanga Ushindi na kwa sababu timu yenu ina wafungaji wazuri obvious mtapita, na kuna uwezekano wa kukutana na St.George ambao wammevua ubingwa APR.

ha hahahahah
Mtani onyesha uzalendo bana, shangilia timu ya nchi yako
Ona alivyfanya Balantanda leo
Alikuwa Simba damu damu
Yanga wakitulia kesho watapita hata kwa bao 3 - 0 ila wakizembea wataangukia pua
St Geogre nao kama Yanga, nategemea watapita kwa kishindo pia, wakizembea nao watakiona.

Nategemea Red Sea na Vital'O zitaanza mechi kwa kutumia defensive approach na kushambulia kwa kushtukiza
Zitaanza kwa 4-5-1
 
ha hahahahah
Mtani onyesha uzalendo bana, shangilia timu ya nchi yako
Ona alivyfanya Balantanda leo
Alikuwa Simba damu damu
Yanga wakitulia kesho watapita hata kwa bao 3 - 0 ila wakizembea wataangukia pua
St Geogre nao kama Yanga, nategemea watapita kwa kishindo pia, wakizembea nao watakiona.

Nategemea Red Sea na Vital'O zitaanza mechi kwa kutumia defensive approach na kushambulia kwa kushtukiza
Zitaanza kwa 4-5-1

Mkuu ushangiliaji wa uwanjani ni tofauti na kwenye tv au jf, usipokuwa makini unaweza kujikuta umerushwa chini, itabidi nikae kimya kwa sababu nitakaa jukwaa la simba, hivyo nikionyesha mahaba kwa Yanga nitajipalia makaa mwenyewe.
 
Mkuu ushangiliaji wa uwanjani ni tofauti na kwenye tv au jf, usipokuwa makini unaweza kujikuta umerushwa chini, itabidi nikae kimya kwa sababu nitakaa jukwaa la simba, hivyo nikionyesha mahaba kwa Yanga nitajipalia makaa mwenyewe.

Mkuu

Kushangilia sio mpaka uache kiti, shabikia kawaida tu mkuu
 
Back
Top Bottom