ffu hawa vipi uwanjani?
yeah tena two more penalties, kweli unfairness is synonymous to tanzanianswatashinda tu hata kama ni kwa penati...
mkuu nimeboreka sana, sijui tukojeKwa mchezo huu St.George watatufunga magoli mengi sana....
duuuuuuuuuu..............Wanaimarisha ulinzi uwanjani, mbeleko ya refa ilikuwa ni ya kutisha wahabeshi wasije wakam-al shabab refa.
Kwa mchezo huu St.George watatufunga magoli mengi sana....
Hongera yenu.....nasikia leo Yanga walikuwa 12 (na REFA)
exactly!!Hongera yenu.....nasikia leo Yanga walikuwa 12 (na REFA)
Hawa cecafa wanaleta mambo ya kijinga sasa, mambo ya kubebana kabisa haya!
Huenda rewfa akawa huytu huyu na akatumia mbeleko ile ile ama akaiboresha zaidi!!
Lakini kama refa kawabeba yanga kwenye penalt kwanini hakumaliza udhia ndani ya dk.90??
Engineer wewe ni wale wa Simna kapakatwa nini hahahaha?
hilo ni la msingiYa leo yameisha.......
Tuanze kujadili game ya kesho sasa ya Simba na El-Mereikh sasa..............
Pooa ila wametutia mshawasha sana leoo Yanga hawahapana ni utabiri tu mkuu
mimi ni mwana yanga na nina kadi nailipia kila wakati