CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Hongera Yanga kwa kuingia semifinal pamoja na kushinda kwa matuta mpira wa jana haukuwa wa kiushindani.Kazeni buti hapo kesho mfanye vizuri ili mcheze fainali na Simba jumapili na kombe libaki nyumbani.Simba sina shaka leo watashinda zaidi ya goli moja ndani ya dk90 kama watakuwa na hamasa na kujituma zaidi ya walivyocheza mechi ya Bunamwaya.Timu za tanzania Bara ni mbele kurudi nyuma mwiko.
 
Sijawahi kuona mashabiki wa ajabu kama mashabiki wa simba. Yaani wanaishangilia timu yoyote inayocheza na yanga kuliko wanavyoishangilia simba kwenye mechi zake.
Tutaona na mwarabu leo kama watammudu,ukiona manyoya kaliwa huyo.
 
Simba banaMajungu hayatawasaidia, akichezesha refa wa Tanzania mnadai kahongwa, akichezesha wa nje kapendelea sasa refa atoke wapi??Yaani kipa atoke golini kabla ya penati, eti kwa vile anachezea katimu kadogo ndio aachiwe?? Kweli huu ndio mchango wako wa kukuza soka duni la East Afrika?? Soka la ukanda huu ndio duni kabisa ktk bara la afrika na bado mnataka kulidumaza zaidi? Nyie kama Simba mnafaidika nini kuendeleza majungu na fitina ktk soka? Badilikeni ndugu zangu.Yanga hawakucheza vizuri kabisa jana lakin walishinda ile mechi kihalali kabida. Na isitoshe wale Red Sea ndio walikuwa ovyo kabisa, hata soka lao lilijionyesha wazi kabisa, hawakuwa na uwezo wa kulisogelea goli la Yanga, na walitegemea ngekewa za penati tu, ambazo hata hivyo nazo walitaka kuziharibu. Walionekana waziwazi wanataka kuharibu utaratibu wa kupigiana penati tangu uchaguzi wa goli la kuchezea penati.
 
Turudi kwenye mechi ya leo tuwaone na nyie, si mnajifanya wajanja, tutaona leo
 
Manji in action kahonga marefa usishangae akahonga hata dhidi ya st George
 
Sijawahi kuona mashabiki wa ajabu kama mashabiki wa simba. Yaani wanaishangilia timu yoyote inayocheza na yanga kuliko wanavyoishangilia simba kwenye mechi zake.
Simba fans ndo staili yao hiyo. Wanajua mtu wa kuwatibulia dili zao kisoka ni Yanga tu, na wanajua hawaiamini timu yao uwanjani.Yaani kuna watu hapa ni Simba live live eti wanajiita Yanga damu na kudai kabebwa jana ili aonekane kaongea point. Acha Yanga wabebwe tu, na watabebwa hadi ubingwa.
 
Mkuu ni kweli tugange yajayo lkn jana YANGA walipewa mbeleko kiaina!
 
Mtani acha ushabiki, Hata kocha wa Red sea amekiri kuwa kipa wao alikuwa anatoka, tumsifu refa na wasaidizi wake kwa kuwa makini.
 
Sijawahi kuona mashabiki wa ajabu kama mashabiki wa simba. Yaani wanaishangilia timu yoyote inayocheza na yanga kuliko wanavyoishangilia simba kwenye mechi zake.
Una washanga Simba vipi mashabiki wa Yanga leo utawashangaa pia.....Mimi ni simba lakini napenda tukutane fainali maana najua nyie hamtuwezi...
 
Manji in action kahonga marefa usishangae akahonga hata dhidi ya st George
Angalia uwezo mkuu, hakuna mpira nje ya uwanja hivyo tutafutane baada ya mechi ya leo jioni.
 
Hawa Eritrea walivaa jezi nyekundu ndio maana Yanga wakawa na hofu sana wakatoa droo!
 

Nachelea kukuelimisha kwa kuwa tayari umeonesha u-simba tayari. Nakushauri sana kama ni mtu serious penda kufanya utafti na kusoma sheria kabla ya kutoa tuhuma. Sheria ya penaly iko wazi (Soccer Rules - Law 14 - Penalty Kick). Nenda website ya Fifa ukaisome. Kwa faida ya wasomaji wengine ni kwamba katika adhamu ya makosa ya upigaji wa penalti refa anaangalia aliyepata faida juu ya kukiuka sheria ya penalti ni nani. Kama kipa amepata faida baada ya kukiuka sheria za penati kwa kuokoa mkwaju au kugonga mwamba au kutoka nje, basi basi faida hiyo hupewa mpigaji kwa kick kurudiwa tena. Kama mpigaji atakiuka sheria hata kama atapata hiyo penati itarudiwa no matter atapata tena ama la! Niwape baadhi ya vifungu katika sheria hiyo:

SOMA KWA UMAKINI SEHEMU AMBAZO NIMEZIPAKA WINO MWEUSI

A PK shall be taken from the penalty-mark and, when it is being taken, all players with the exception of the player taking the kick, properly identified, and the opposing goalkeeper, shall be within the field of play but outside the penalty-area, and at least 10 yards from the penalty-mark. The opposing goal-keeper must stand (without moving his feet) on his own goal-line, between the goal-posts, until the ball is kicked. The player taking the kick must kick the ball forward; he shall not play the ball a second time until it has been touched or played by another player. The ball shall be deemed in play directly it is kicked, i.e. when it has traveled the distance of its circumference. A goal may be scored directly from a PK. When a PK is being taken during the normal course of play, or when time has been extended at half-time or full-time to allow a PK to be taken or retaken, a goal shall not be nullified if, before passing between the posts and under the cross-bar, the ball touches either or both of the goal-posts, or the cross-bar, or the goal-keeper, or any combination of these agencies, providing that no other infringement has occurred.

Punishment:

For any infringement of this Law:
  1. by the defending team, the kick shall be retaken if a goal has not resulted .
  2. by the attacking team other than by the player taking the kick, if a goal is scored it shall be disallowed and the kick retaken.
  3. by the player taking the PK, committed after the ball is in play, a player of the opposing team shall take an IFK from the spot where the infringement occurred, subject to the overriding conditions imposed in Law 13.
Decisions of the International F.A. Board
  1. When the referee has awarded a PK, he shall not signal for it to be taken, until the players have taken up position in accordance with the Law.
  2. ?
    1. If, after the kick has been taken, the ball is stopped in its course towards goal, by an outside agent, the kick shall be retaken.
    2. If, after the kick has been taken, the ball rebounds into play, from the goalkeeper, the crossbar or a goal-post, and is then stopped in its course by an outside agent, the referee shall stop play and restart it by drop ball.
  3. ?
    1. If, after having given the signal for a PK to be taken, the referee sees that the goalkeeper is not in his right place on the goal-line, he shall, nevertheless, allow the kick to proceed. It shall be retaken, if a goal is not scored.
    2. If, after having given the signal for a PK to be taken, and before the ball has been kicked, the goalkeeper moves his feet, the referee shall, nevertheless, allow the kick to proceed. It shall be retaken, if a goal is not scored.
    3. If, after the referee has given the signal for a PK to be taken, and before the ball is in play, a player of the defending team encroaches into the penalty-area, or within ten yards of the penalty-mark, the referee shall, nevertheless, allow the kick to proceed. It shall be retaken, if a goal is not scored. The player concerned shall be cautioned.
  4. ?
    1. If, when a PK is being taken, the player taking the kick is guilty of ungentlemanly conduct, the kick, if already taken, shall be retaken, if a goal is scored. The player concerned shall be cautioned.
    2. If, after the referee has given the signal for a PK to be taken, and before the ball is in play, a colleague of the player taking the kick encroaches into the penalty-area or within ten yards of the penalty-mark, the referee shall, nevertheless, allow the kick to proceed. If a goal is scored, it shall be disallowed, and the kick retaken. The players concerned shall be cautioned.
    3. If, in the circumstances described in the foregoing paragraph, the ball rebounds into play from the goalkeeper, the cross-bar of a goal-post, and a goal has not been scored, the referee shall stop the game, caution the player and award an IFK to the opposing team from the place where the infringement occurred, subject to the overriding conditions imposed in Law 13.
  5. ?
    1. If, after the referee has given the signal for a PK to be taken, and before the ball is in play, the goalkeeper moves from his position on the goal-line, or moves his feet, and a colleague of the kicker encroaches into the penalty-area or within 10 yards of the penalty-mark, the kick, if taken, shall be retaken. The colleague of the kicker shall be cautioned.
    2. If, after the referee has given the signal for a PK to be taken, and before the ball is in play, a player of each team encroaches into the penalty-area, or within 10 yards of the penalty-mark, the kick, if taken, shall be retaken. The players concerned shall be cautioned.
  6. When a match is extended, at half-time or full-time, to allow a PK to be taken or retaken, the extension shall last until the moment that the PK has been completed, i.e. until the referee has decided whether or not a goal is scored, and the game shall terminate immediately the referee has made his decision. After the player taking the PK has put the ball into play, no player other than the defending goalkeeper may play or touch the ball before the kick is completed.
  7. When a PK is being taken in extended time:
    1. The provisions of all of the foregoing paragraphs, except paragraphs (2)(b) and (4)(c) shall apply in the usual way, and
    2. in the circumstances described in paragraphs (2)(b) and (4)(c) the game shall terminate immediately the ball rebounds from the goalkeeper, the cross-bar or the goal-post
 
Nami na declare interest ni mshabiki wa Simba na Simba ikifungwa nahuzunika, Kuhusu mechi ya Yanga na Red sea kwa leo sitasema kama refa aliwabeba yanga au la maana hiyo nilisema jana kwenye thread ya mashindano, nitasema hali ilivyokuwa uwanjani na maelezo juu ya utaratibu wa kupiga penati.

Dakika 90 ziliisha sare ya bila kufungana Red sea wakicheza kwa kujilinda kwa ufundi wa hali ya juu kila wanaposhambuliwa na soka la kuvutia pasi za chini chini na kwa kujiamini kwa taratibu sana bila haraka wakiwa katikati ya uwanja au wakati wanashambulia huku Yanga wakitumia mawinga kupiga krosi lakini hadi dakika ya 90 hakuna aliyetoka na ushindi.

Ikafika muda wa penati, kawaida refa anatakiwa aangalie kama kuna timu ina wachezaji pungufu na kama itakuwepo basi refa atamuita nahodha wa timu yenye wachezaji wengi na kumwambia ataje wachezaji ambao hawatapiga penati ili idadi ilingane na timu nyingine na waliozidi watatoka nje, kwa jana hii haikutumika maana wachezaji kwa timu zote walikuwa sawa yaani kumi na moja.

Timu mwenyeji italazimika kuchagua lango lipi litumike, hilo sitalizungumzia.

waamuzi wawili watatumika mwamuzi wa kati na mshika kibendera, kipa hatatakiwa kuvuka mstari wa goli kuingia ndani ya uwanja mpaka wakati mpira unapigwa lakini anaruhusiwa kwenda kushoto, kulia au hata nyuma ya mstari kama atataka, na mpira utakuwa meta 12 kutoka mstari wa goli kuelekea eneo la kuchezea na zitapigwa penati tano za kwanza kwa kila upande.

Hapa kuna mambo kama manne:
1. Mpira unaweza kuingia hapa litakuwa goli,
2. Kipa anaweza kucheza,
3. Mpira unaweza kugonga mwamba (miamba iliyowima au ulio mlalo),
4. Mpira unaweza kutoka kwa maana usilenge goli ukapaaa juu au mpigaji akapiga kushoto au kulia mwa lango.
Ni wakati gani mpigaji atalazimika kurudia, atalazimika kurudia tu pale ambapo golikipa atatoka kabla mpira haujapigwa na akaucheza, lakini kama atatoka na mpira ukaingia litahesabiwa goli na kama atatoka na mpira ukaangukia kwenye option ya 3 au 4 hapo juu basi halitakuwa goli na mpigaji hatarudia.

Kwa issue ya jana, Penati aliyopiga Gumbo ilichezwa na ikarudiwa na penati aliyopiga Asamoah iligonga mwamba na ikarudiwa.

Ukizingatia mambo yote hapo juu basi utaweza kuona kama kulikuwa na upendeleo au la.

Yote kwa yote TFF na CECAFA watatengeneza hela nyingi kulingana na kwamba Yanga wanawashabiki wengi pengine kuliko hata washabiki wa Simba.

Nawasilisha.
 

Masuke, haya ndo mambo ambayo hata serikali yetu tunaipigia kelele mara kwa mara, kutokuwa wawazi. Umesema vizuri waambie wanasimba wenzio kuwa kibendera alifanya kazi yake bara bara kwa kufuata sheria, usiume maneno.

''kabla ya kupuliza filimbi na kabla mpira haujapigwa, kipa akitoa mguu wake, refa ataruhusu mpira upigwe. Kama goli halitafungwa, kiki itarudiwa''

hii ina maana kwamba kama akifunga, ni goli hata kama alitoka mapema. Tena wako precise, hata akitoa mguu tu.

Hizo ndo sheria za FIFA, MSITULETEE SHERIA ZENU ZA MCHANGANI
 
Mkuu mimi sijauma uma maneno, wanasema kabla mpira haujapigwa kama atasogea mbele au kusogeza mkuu, hiyo maana yake ni nini pamoja na hayo yote na refa kuwa ameona kwamba golikipa alisogea mbele au alisogeza mguu lakini ataruhusu mpira upigwe lakini itarudiwa tu endapo kipa atacheza na si vinginevyo hapo ndo mwamuzi wa kati alipochemka kwenye penati ya Asamoah lakini ya Gumbo he was right, mshika kibendera kwa pale hana kosa.

Duniani kote haki ni kidogo sana, Yanga ni timu kubwa na ina washabiki wengi na mapato ya TFF na CECAFA wanategemea hasa viingilio ukizingatia Castle wenyewe wamejitokeza kudhami mwishoni pengine wametoa hela kidogo kwa sababu bajeti ya kudhamin mashindano ya vilabu ya CECAFA haikuwepo.

Maadam Red sea walishindwa kuwatoa ndani ya dakika 90 basi ilikuwa ni ngumu sana kuwatoa kwenye penati.

Nachelea kusema mambo haya yanaweza kutokea leo kama Simba au El-Mereikh asiposhinda ndani ya dakika 90 lakini ni uhakika na ngome ya Simba na uimara wa Kaseja Mungu saidia Simba ishinde ndani ya dakika 90.
 
Walete hao walete hao El-Mereikh......

Kila la heri watani zangu Simba,leo tupo pamoja mwanzo mwisho....

Dua zangu zote nazielekeza kwa Simba........Funga hao El-Mereikh kombe libaki Tanzania

Mungu Ibariki Tanzania,Mungu ibariki Simba....
 
Mpira tayari umeanza,Ni dakika ya 3 sasa na matokeo bado ni bilabila...

El-Mereikh wameanza kwa kasi kidogo na kupeleka mashambulizi upande wa Simba.....

Mashabiki wa Yanga waliopo uwanjani wanakera kweli....

Derick Walulya na Mohammed Banka hawajaanza,ni majeruhi nadhani
 

Masuke, masuke, masuke please! Hapo kwenye red ndo mnapopotoka ninyi wazee wa rufaa. Hebu soma vizuri kipengele cha 3 (1) & (2)
1. If, after having given the signal for a PK to be taken, the referee sees that the goalkeeper is not in his right place on the
goal-line, he shall, nevertheless, allow the kick to proceed. It shall be retaken, if a goal is not scored.


2. If, after having given the signal for a PK to be taken, and before the ball has been kicked, the goalkeeper moves his feet,
the referee shall, nevertheless, allow the kick to proceed. It shall be retaken, if a goal is not scored.

Wanasema ''IF A GOAL IS NOT SCORED'' na siyo ''KIPA AKICHEZA'' kama wewe unavyotaka iwe

 
Safi sana Kaseja.........

Bonge la shuti.....................
 
Simba wanahitaji umakini wa hali ya juu leo.....

So far kiongo chao kimepwaya sana na beki(hasa Kelvin Yondan) inakatika katika sana

Gooooooooooooooooooooooooooooooal

Simba 0 El-Mereikh 1

Remy Adiko dakika ya 12
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…