CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Walete hao walete hao El-Mereikh......

Kila la heri watani zangu Simba,leo tupo pamoja mwanzo mwisho....

Dua zangu zote nazielekeza kwa Simba........Funga hao El-Mereikh kombe libaki Tanzania

Mungu Ibariki Tanzania,Mungu ibariki Simba....

Iwe hivyo kweli............SIMBA MBELE
 
Kelvin Yondan na Amir Maftah wanakatika sana na kuruhusu mashambulizi.....

Mipira mingi inaingilia kwa Amir Maftah............Simba inabidi watulie hasa kwenye kiungo

Dakika ya 15 El-Mereikh 0:1 Simba
 
naona kama vile beki ya simba inashindwa kujipanga vile!!!!
 
You are very right Mkuu,Penalt kick iliyogonga mwamba haikupaswa kurudiwa. CECAFA na TFF wanaua mpira kwa kuendekeza mapato badala ya kufikiria ubora, aibu sana hii.
 
Iwe hivyo kweli............SIMBA MBELE

Kiungo cha Simba kimepwaya sana dakika 15 za mwanzo......

Dakika ya 18 El-Mereikh 1:0 Simba

El-Mereikh wanakosa goli la wazi hapa........

Pengo la Banka linajionesha dhahiri
 
naona kama vile beki ya simba inashindwa kujipanga vile!!!!

Tatizo linaanzia kwenye kiungo......Pengo la Banka linaonekana,Jery Santo kazidiwa hivyo kuzidisha mashambulizi....

Wakiendelea hivi hali itakuwa mbaya zaidi...
 
Mamir Maftah anaharibu sana leo......

Patrick Mafisango anavuja sana pale kati...
 
Goaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaal

Safi sana

Simba wanapata goli
 
Ni uzembe wa kipa wa El-Mereikh......Kafungwa kizembe sana

Safi sana Ulimboka Mwakingwe.....

Dakika ya 27 El-Mereikh 1:1 Simba
 
Mgosiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Offside.....................
 
Walau sasa...maana nilikuwa natafuta anti-hypertensive

Shukrani kwa kipa Esm El-Hadary......

Simba bado wanafanya uzembe ambao utawagharimu na watajuta.....

Kiungo chao kimepwaya sana......Angalau sasa hivi wanafanya mashambulizi
 
Dakika ya 30 sasa

El-Mereikh 1:1 Simba

Simba taratibu wanabadilika...............
 
Kidogo simba wanaonyesha uhai, Elmelek wamepunguza kasi
 
Dakika ya 35

El-Mereikh 1:1 Simba

Hutu Mgosi naye.................Kanzu za nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…