presha babaWatani zangu wa Simba mpo?......Mbona kimyaaAma mnasubiri mpaka mechi iishe nini.....Acheni uoga bana
Simba kwa uoga . . .
Katavi, Crashwise, Ivuga njooni bana
Jiaminini jamani
hahahahahah haha aha haha ha
Jamani tunaomba First 11....Mhe. Balantanda na wengie fanyeni mambo....natanguliza shukrani
Simba kwa uoga . . .
Katavi, Crashwise, Ivuga njooni bana
Jiaminini jamani
hahahahahah haha aha haha ha
Huyu mheshimiwa hili jukwaa haonekani kabisaNawatafuta watani zangu Saint Ivuga,Invisible na Masuke......
Njooni tuujadili mchezo bana.....Msiogope
Mkuu hao acha wapumzike, nitawawakilisha twende kazi mzeeNawatafuta watani zangu Saint Ivuga,Invisible na Masuke......Njooni tuujadili mchezo bana.....Msiogope