Ta Kamugisha
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,541
- 2,187
Ni halftime sasa hivi: hakuna jipya sana zaidi ya Yanga kukoswakoswa tuJamani natamani kutoroka kwenye kikao, ukiwa na cheo shida, ukiwa hauna shida! cjui nifanyeje. vp mapumziko au bado?
Kipindi cha pili kimeanza!
Yanga wanaingiza mpira golini kupitia nyavu ndogo!
Hizi ndo zipi tena!?? ndo goli ama??!
Nyavu za pembeni ndo nyavu ndogo, sio goli, naona nyavu zimeoza.Hizi ndo zipi tena!?? ndo goli ama??!
Nyavu za pembeni ya goli - SIYO GOLI..