Eeka Mangi
JF-Expert Member
- Jul 27, 2008
- 3,173
- 482
Omba Mungu wasiingie 120. Daaaaaaaah Yanga wanakosa hapahureee kwa Yanga : zimeongezwa dakika saba (7) - sasa ni dakika ya 39.. 0-0
Yes itakuwa vizuri Yanga leo ashinde ili J2 kombe libaki Tanzania
Wamerudisha?thank you tanesco,
Kwani REFA leo hatoki KENYA??Hatari mbele ya dk 120 wasipozitumia vzri penalt leo inaweza kula kwao
aah wapi, mpira naangalizia jfWamerudisha?
Kwenye penati yanga wasahau!!Hatari mbele ya dk 120 wasipozitumia vzri penalt leo inaweza kula kwao