Toka mkuu. Watani werawera. Haya bwana mlete team sasa jumapiliNipeni matokeo hapo jamani,nimejificha kabatini.nitoke au?
Iko sawa sema refa kaona aipe advantage yanga.Naomba tofauti kati ya canavaro na hii ya mwisho!
Kwa kweli hizi mbeeeeeeleko sasa balaa!Hongera Yanga!Iko sawa sema refa kaona aipe advantage yanga.