CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Naona upendeleo wa wazi kwa timu zetu.
Nadhani ni mpango mahsusi wa waandaaji na TFF ili kombe libaki nchini.
Kwa namna hii ya uongozi wa soka, tutakuwa tukiporomoka kwenye jedwali la FIFA kila kukicha.
TUBADILIKE

Napita..nitarudi mkiacha kuhisi na kutoa maoni yenu,nami nichangie
 
KOMBE la CECAFA...litabakia TANZANIA........wapi haswa JANGWANI au MSIMBAZI ndo SWALI????
Tuelekeze mjadala wetu sasa hapo...

Mkuu
Mi nataka hawa baadhi ya mashabiki wa Simba waeleze jamii vizuri walipobebwa Yanga leo
Maana wamekomaa tu "Oooh CECAFA na TFF wameangalia mapato" . . . . yaani siwaelewi kabisa.
Kelele zao wanapiga mpaka BBC, eti CECAFA wameiingiza Yanga fainali . . .. hahahahah
Sasa sijui CECAFA ndo walikuwa wanapiga penati leo??
 
CPU Yanga mnatisha mnafunga tokea nje ya uwanja halafu refa anakataa goli hajui kama ni ubunifu, msivunjike moyo, nasikia hata goli la kwanza la tiktak lilikataliwa ya kwamba huwezi kufunga goli huku lango liko nyuma yako, jaribuni ubunifu huo fainali linaweza kukubaliwa, si unaona sahivi magoli ya tiktak yanakubaliwa, kingine nyie mna hati miliki namna ya penati zinavyopigwa, mkianzisha kitu timu pinzani wakijaribu kuwakopy inakula kwao.
 
Wazee wa Mbeleko bwanaa yaani najua leo itakuwa furaha kwa huyu katibu wa cecafa mana malengo yao yametimia ...Wanategemea kuujaza uwanja ule.Mnyama ataitafuna kandambili hiyo cku ya Jumapili......Mbeleko juu juu!!
 


Kwahiyo Huu ndio ushahidi wako MAKINI KABISA kwamba Yanga wamebebwa leo??
aSALAMALEKU WALLAHIIIII . . . . . .
 

Penati ya mwisho ya St.George ilikuwa copy ya ile ya Nadir Haroub, hapo ndo watu wanasema haki haijatendeka, lakini kwa ujumla Yanga imecheza vizuri na mhimu zaidi dola elfu hamsini zinabaki Tanzania.
 
Kwahiyo Huu ndio ushahidi wako MAKINI KABISA kwamba Yanga wamebebwa leo??
aSALAMALEKU WALLAHIIIII . . . . . .

Mkuu mimi sijui kama ni ushahidi au la, lakini mimi naandika nilichokiona, Conclusion yangu nimeandika hapo juu.
 
kweli wanasimba mna mizengwe! kwasasa mnawila wila kiboya baada ya kuona yanga wametinga fainali! simba imekula kwenu, ndo mtamjua sam timbe ndo nani, ameshachukua kombe hili mara 3 na timu tofauti. na j2 analichukua kwa mara ya 4 akiwa na yanga. mbona simba litawashuka iyo j2! yanga daima mbele nyuma mwiko. yanga oyeee
 
Penati ya mwisho ya St.George ilikuwa copy ya ile ya Nadir Haroub, hapo ndo watu wanasema haki haijatendeka, lakini kwa ujumla Yanga imecheza vizuri na mhimu zaidi dola elfu hamsini zinabaki Tanzania.

Sasa mkuu
Ilikuwaje ya Canavaro ikawa goli na ya St Geogre ikawa sio goli??
Refa aliidaka ya St Geogre au ya Canavaro ilitoka wakasema imeingia??
Yah, sure.
$50,000 zipo bongo sasa
 
Sasa mkuu
Ilikuwaje ya Canavaro ikawa goli na ya St Geogre ikawa sio goli??
Refa aliidaka ya St Geogre au ya Canavaro ilitoka wakasema imeingia??
Yah, sure.
$50,000 zipo bongo sasa
Hayo maswali refa ndo anaweza kuyajibu maana yeye ndo mwamzi wa mwisho, mimi mwenyewe nilipenda sana Yanga wapite na ndo kilichotokea lakini hatuwezi kuacha kusema matukio mengine yaliyotokea uwanjani, jpili Yanga mkishinda nitawapongeza na sisi tukishinda mtupongeze lakini iwe ni kwa haki.
 
Mtani pole sana, naona mnyama tumbo joto kwa kumuogopa Yanga. Nakushauri mjifunze na sheria za soka maana hatutaki lawama zakusema tumependelewa tena. Kumaliza ubishi tutawachinja ndani ya dk90.
 
Naona upendeleo wa wazi kwa timu zetu.
Nadhani ni mpango mahsusi wa waandaaji na TFF ili kombe libaki nchini.
Kwa namna hii ya uongozi wa soka, tutakuwa tukiporomoka kwenye jedwali la FIFA kila kukicha.
TUBADILIKE

SImba bana
Matumbo joto wakianza kusikia Yanga.
Na hizi mada za kubebwa zimeanza baada ya Yanga kuingia fainali
Yaani UNAHISI TU then unataka ionekane kweli??

Inaelekea huu wimbo wa KABEBWA unaanza kuwa maarufu kwa baadhi ya watu ambao wanaogopa timu fulani
Ilianza kwa Ferguson, ikaenda kwa Anceloti, ikapaa mpaka Catalunya kwa Barca, then Real Madrid

Nakutakia UHISI mwema
 
yeboyebo mdomoni mwa mnyama, msiweke mpira kwapani jpili mbeleko itatoboka labda mje na mbeleko ya chuma!!!!!!!!!
 
Wazee wa Mbeleko bwanaa yaani najua leo itakuwa furaha kwa huyu katibu wa cecafa mana malengo yao yametimia ...Wanategemea kuujaza uwanja ule.Mnyama ataitafuna kandambili hiyo cku ya Jumapili......Mbeleko juu juu!!

Habari zenu wakuu. Nlitamani sana kuchangia mjadala lakini mtandao ulikuwa unaniambia sija-login (japo nilikuwa nina-login). Ikiwa suala la kusema Yanga imebebwa ni jambo tu la utani wa mpira, basi sina tatizo, lakini mie niko mbali na Tz hivyo niliangalia mechi zote kupitia Supersport. Supersport wamerudi kuonyesha penalti zote mbili kawaida na kwa mwendo wa pole (siyo wa gwaride lakini). Penalt ya Cannavaro baada ya kugonga mwamba ilitua ndani ya mstari (yaani golini) na kwa sehemu aliyokaa refa ni wazi aliiona vizuri. Penalt ya mwisho ya St George baada ya kugonga mwamba ilitua nje ya mstari, upande wa uwanja (yaani haikuingia). Suala la kubebwa kwenye zile penalt halipo tofauti na refa aliyekataa goli halali la Uingereza walipocheza na Ujerumani kwenye kombe la dunia.
 

Unafikiri washabiki wa simba wanaelewa? Wao ni majungu tu hata sheria hawafahamu kila kitu wao nongwa tu!
 
Your comment is baseless brother; Timbe to lift the Cecafa cup with 3different team is not an issue, that is simple history you know on him, what about Bassena!!!!; we need pitch performance to determine the winner.
 
Ukitaka kuamini kama kweli hao kandambili magamba wamebebwa tena,hata goalkeeper wao hakushangilia wkt wanasema ndo aliyeokoa,pata picha kama kweli kitu isingekuwa goal pale yule kipa angerukarukaje,nway..Lets Wait them on sunday!
 
Hahahah YANGA HOYEEEEEEEEEEEEEEE, YANGA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE, eti Simba Mchumba tuuuuuu hahahahahahahaahah

yes! Mungu akupe nini.....jumapili ni kutafuna "mishikaki" ya msimbazi kwa kwenda mbele!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…