CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Penati ya mwisho ya St.George ilikuwa copy ya ile ya Nadir Haroub, hapo ndo watu wanasema haki haijatendeka, lakini kwa ujumla Yanga imecheza vizuri na mhimu zaidi dola elfu hamsini zinabaki Tanzania.
Tabia za panya. Kuuma na kupuliza
 
Jamani mambo mengine ni ya kamati za ufundi. Unaweza kugeuza macho ya refa yakawa nyuma mbele mbele nyuma. kocha wa juzi ni mkenya na wa leo ni mganda hakuna mwenye ukaribu na Yanga hapo. Nyinyi Simba Rogeni wachezaji sisi Tunaroga marefa, hapo hata mtu akikatwa katikati ya uwanja ni penalt tu!
 

Acha kuumiza kwa kichwa kwa hii "mishikaki".
Kinachoisumbua hii "mishikaki" ni jambajamba ya kuogopa kutafunwa jumapili!
 
Yule mtangazaji wetu bila shaka leo alikuwa uwanjani!
 
watu wengine humu me nahc ni std7 failure mmewekwa na wajomba zenu huko ofcn mnapost pumba kwenye forums za great thinkerz,sa kama una uhakika yanga itashinda umeuliza qn gan kwenye title ya post yako?
 
hebu someni hilo tangazo kwenye picha ha ha ha ha
 

Attachments

  • mke katangulia.jpg
    77.4 KB · Views: 33
...msihofu, mpira wetu hauwezi kushuka kwa hisia za kubebwa. Hata Barca wanabebwa lakin kiwango kipo juu sana.
 
Simba imeingia fainali kwa penalts, Yanga hivyo hivyo. Hata timu ya Taifa ilipochulua challenge, kila siku ilikuwa ikishinda kwa penalt.
Hii ni aibu sana kwa taifa na ndio ina spoil maendeleo ya soka letu.
 
Hivi kweli ile penalt ya st.george waliokosa na ile ya yanga zinatofauti? Ndo mana kagame ikichezewa nje timu zetu zinashindwa.

Tulioangalia kupitia supersport zile penati mbili zote zilirudiwa na maamuzi ya refa yalikuwa sawa kabisa.Mpira wa penati ya st.george ulidunda kwenye mstari wa goli wakati ule wa yanga ulidunda ndani ya goli.
Hayo maneno ya kuwa yanga inabebwa nadhani yanatokana na woga wa mnyama kukutana na yanga.
 
Simba will be missing their maestro mildfielder, jerry santos. He picked up his second successive yellow card.........

Mnyama yuko weak sasa
 
From Habari leo....SOME HITS kama MTANI ALIBEBWA.....
1. Hiyo ndio ilikuwa kama penati ya mwisho kwani mchezaji wa St. Georges, Antony Bongole alikosa. Penati hiyo ilizua zogo kwa wachezaji wa St. Georges ambao walimlalamikia mwamuzi Denis Batte wa Uganda wakidai bao hilo lilikuwa halali kwani mpira ulivuka mstari kabla ya kutoka nje.

2. Kwa upande wa kocha wa St Georges, Mtaliano Guiseppe Dossena alisema mechi ilikuwa ngumu na anawapongeza wachezaji wake kwani walicheza vizuri.

"Nimefurahi sana kwa sababu wachezaji wangu wamecheza vizuri sana leo (jana) kuna wengine wameonesha kiwango cha hali ya juu sijawahi kuona, na kwa kifupi tumecheza
kwa kiwango kikubwa leo, na hatukufungwa zile ni penati na kwenye penati mwamuzi ndiye mwenye kuamua," alisema.
 
Kila La Heri Kwa Simba Na Yanga Jumapili Hope Litakuwa Pambano La Kukata Na Shoka Na Timu Bora Itashinda.
 
Miluzi mingi humpoteza mbwa msimamo ni mmoja Yanga jpili anachinja mnyama simba, na hizo pesa
tutabebea kwenye ngozi ya mnyama
 
supersport mbona mie sipati live watch, au ni mtandao tu? tuelezani. Mkwasa hapa
 
Yule Mtangazaji wa Uzalendo leo kakimbia Je Jpili ataruka nadhani
KWAKAKAKAKAKAKA!!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…