Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 642
Tabia za panya. Kuuma na kupulizaPenati ya mwisho ya St.George ilikuwa copy ya ile ya Nadir Haroub, hapo ndo watu wanasema haki haijatendeka, lakini kwa ujumla Yanga imecheza vizuri na mhimu zaidi dola elfu hamsini zinabaki Tanzania.