Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,480
- 4,775
Mropr pasi zake anazibutua tu......hazina macho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenneth Asamoah for Kigi Makassy(substitution)
Mmmh
Naona kama ndo anawapa nafasi wachezaji wapya na wala haleti mabadiliko ya kimchezo
dk ya ngapi?Yanga wakizubaa jamaa wanasawazisha muda si mrefu....
1. Yaw BerkoWaungwana hebu tupeni 1st eleven ikoje
dk ya ngapi?
Dk ya 76....
Yanga 2 Bunamwaya 2
Kocha kafanya makosa sana kufanya substitution isiyo na maana kwa kumtoa Shadrak Nsjigwa na kumuingiza Julius Mrope.....
Matokeo yakiwa hivi Yanga wanaenda nje ya mashindano.......