CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

CECAFA KAGAME CUP 2011 Finals in Tanzania

Huyu Mrope bure kabisa......Anapoteza mipira tu bila sababu......Inakera sana
 
Hadi muda huu bado bila bila sasa hizo goli 11 labda ziwe za tuta...na huenda akashangazwa kandambili!!
 
Ona maajabu ya Timbe kwenye substitution sasa

Kamtoa Hamis Kiiza aliyekuwa analeta uhai kwenye safu ya ushambuliaji kamuingiza Kenneth Asamoah na kamtoa Godfrey Taita kamuingiza Julius Mrope......

Tunashambuliwa sasa,tunacheza rafu za kijinga na huyu Asamoah anapoteza tu mipira.......

Tegete kamkosea nini Timbe????
Yaani Tegete na tamani angekuwa pale simba, angetupia nyavuni mpaka watu wangemshika uchawi...
 
Ona maajabu ya Timbe kwenye substitution sasa

Kamtoa Hamis Kiiza aliyekuwa analeta uhai kwenye safu ya ushambuliaji kamuingiza Kenneth Asamoah na kamtoa Godfrey Taita kamuingiza Julius Mrope......

Tunashambuliwa sasa,tunacheza rafu za kijinga na huyu Asamoah anapoteza tu mipira.......

Tegete kamkosea nini Timbe????

Jamani mwacheni kocha afanye kazi yake..yeye ndio kocha kamwangalia Tegete kasoma na mfumo wa Red Sea akaona hataleta matunda...so let's wait and see! He's the coach here!
 
Huyu Mrope sijui ana undugu na Sam Timbe......

Kuna haja ya kumtoa Kigi Makassy ama Julius Mrope na kumuingiza Jerry Tegete
 
je hawa jamaa wa yanga watatoka kweli leo maana mpka sasa amna alieona nyavu za mwenzake..balantanda lete vitu leo niko mbali na tv na radio..
 
Dakika ya 70

Yanga 0:0 Red Sea

Yanga mchezo wao haufurahishi hata kidogo
 
Jamani mwacheni kocha afanye kazi yake..yeye ndio kocha kamwangalia Tegete kasoma na mfumo wa Red Sea akaona hataleta matunda...so let's wait and see! He's the coach here!
Tangu michuano hii sija msikia Tegete...
 
ukilnganisha na jana au sku zote ndo hvyo inasemekana awajacheza muda mrefu kulko simba
 
Wabongo sasa kila mtu kocha? yeye si anapanga kutokana na mtu anavyojituma mazoezini na formation anayotaka timu icheze
 
Jamani mwacheni kocha afanye kazi yake..yeye ndio kocha kamwangalia Tegete kasoma na mfumo wa Red Sea akaona hataleta matunda...so let's wait and see! He's the coach here!

Pamoja na kwamba yeye ni coach.....Anapokosea lazima tumseme bana......

Yanga hakuna la maana lolote wanalofanya sasa uwanjani zaidi ya kukosa magoli kizembe....

Hakuna lolote linalofanywa na Kigi,Mwape,Asamoah wala Mrope...

Tukienda kwenye penati tunatolewa
 
nataman kama ningekuwa nauona vle maana ni balaa raia wanalalamika balaa...
 
Wabongo sasa kila mtu kocha? yeye si anapanga kutokana na mtu anavyojituma mazoezini na formation anayotaka timu icheze
Unaimanaisha watanzania zaidi ya mil 40 ni makocha....hahaha..................
 
Back
Top Bottom