Mkaguzi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2007
- 250
- 27
kaka mapezi yakizdi unakua ushamba yanga kabebwa wap? coz all semis ended up in penalts!Yanga wamepita......wamebebwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka mapezi yakizdi unakua ushamba yanga kabebwa wap? coz all semis ended up in penalts!Yanga wamepita......wamebebwa!
Wanataka uwanja utapike mapato kwa wingi c unajua Cecafa walipitisha Bakuli?Kwa kweli hizi mbeeeeeeleko sasa balaa!Hongera Yanga!
hahahaha mawazo mgando mengine haya. J2 tutajua nani anabebwa coz hata simba kapita kwa penaltDuh,watan hongeren!sasa nijichange kitu cha taifa jumapili!simba kidume oyeee!yanga mnabeebwaaa,
Tunawait jaman,nan kapita'
Jumapili watavuna sana pesa zetu hawa.Wanataka uwanja utapike mapato kwa wingi c unajua Cecafa walipitisha Bakuli?
Yanga hoyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, 2011 ni yenu
Magamba wamepita kwa zegwe tena!