Habari wakuu,
Leo ni muendelezo wa kombe la CECAFA na Tanzania bara chini ya Kibadeni inarusha karata nyingine dhidi ya Rwanda. Timu ya taifa ya Rwanda imependeza ndani ya uzi wa njano na Tanzania bara wametinga jezi nyeupe zenye fito za kibluu. Mechi inachezewa mjini Hawassa na sote tuwe pamoja kujuzana yatakayojiri.
=======
00' Kipenga kimepulizwa kuashiria mwanzo wa mchezo
09' Himid Mao amekosa goli baada ya kupiga shuti kali lakini hakuweza kulenga goli
11' Tanzania Bara wanapata kona lakini haikuzaa matunda baada ya kuondolewa na mabeki wa Rwanda
18' Rwanda wamecheza pasi nzuri kuingia boksi la Tanzania lakini wamekwamishwa na mabeki
21' Mugiraneza kadi ya njano baada ya kumuwekea mguu John Boko
22' :A S soccer:Goaaaal, Said Ndemla wa Kilimanjaro stars anapachika goli la kuongoza kupitia mpira wa adhabu
30' Ernest wa Rwanda anakosa goli baada ya kupiga sentimita chache nje ya goli la Tanzania
33' Batista anakosa goli baada ya kuunganisha krosi lakini ilienda nje kidogo
45+2'Mpira unaenda mapumziko
45' Mpira umerejea kumalizia ngw'e ya mwisho ya mchezo, Rwanda imefanya mabadiliko ya wachezaji wawili
49' Kaseke anakosa goli kwa kupiga mpira hafifu baada ya kuwekewa mpira mzuri wa pasi na Maguli
52' Msuva anacheza mpira mzuri na kujaribu kumtupia pasi Maguli, beki ya Rwanda inatibua.
53' Baptist anamuweka chini Himid Mao na kugaagaa chini, Mao anatolewa nje kwa machela.
57' Niyonzima anapewa kadi ya njano baada ya kulalamika kutopewa penati
62' Himid Mao anatolewa tena nje na machelewa
65' Mkude anaingia kuchukua nafasi ya Himid Mao
77' :A S soccer:Msuva anaweka goli la pili kimiani baada ya kipa kutoka golini
88' :A S soccer:Rwanda wanaandika goli kupitia kwa Tuisenge, Rwanda 1-2 Tanzania.
90+2' Kadi ya njano kwa Aishi Manula kwa kupoteza muda
90+4' Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwisho wa mchezo, Kiilimanjaro stars wanapata pointi tatu nyingine na kutimiza pointi sita.
Leo ni muendelezo wa kombe la CECAFA na Tanzania bara chini ya Kibadeni inarusha karata nyingine dhidi ya Rwanda. Timu ya taifa ya Rwanda imependeza ndani ya uzi wa njano na Tanzania bara wametinga jezi nyeupe zenye fito za kibluu. Mechi inachezewa mjini Hawassa na sote tuwe pamoja kujuzana yatakayojiri.
=======
00' Kipenga kimepulizwa kuashiria mwanzo wa mchezo
09' Himid Mao amekosa goli baada ya kupiga shuti kali lakini hakuweza kulenga goli
11' Tanzania Bara wanapata kona lakini haikuzaa matunda baada ya kuondolewa na mabeki wa Rwanda
18' Rwanda wamecheza pasi nzuri kuingia boksi la Tanzania lakini wamekwamishwa na mabeki
21' Mugiraneza kadi ya njano baada ya kumuwekea mguu John Boko
22' :A S soccer:Goaaaal, Said Ndemla wa Kilimanjaro stars anapachika goli la kuongoza kupitia mpira wa adhabu
30' Ernest wa Rwanda anakosa goli baada ya kupiga sentimita chache nje ya goli la Tanzania
33' Batista anakosa goli baada ya kuunganisha krosi lakini ilienda nje kidogo
45+2'Mpira unaenda mapumziko
45' Mpira umerejea kumalizia ngw'e ya mwisho ya mchezo, Rwanda imefanya mabadiliko ya wachezaji wawili
49' Kaseke anakosa goli kwa kupiga mpira hafifu baada ya kuwekewa mpira mzuri wa pasi na Maguli
52' Msuva anacheza mpira mzuri na kujaribu kumtupia pasi Maguli, beki ya Rwanda inatibua.
53' Baptist anamuweka chini Himid Mao na kugaagaa chini, Mao anatolewa nje kwa machela.
57' Niyonzima anapewa kadi ya njano baada ya kulalamika kutopewa penati
62' Himid Mao anatolewa tena nje na machelewa
65' Mkude anaingia kuchukua nafasi ya Himid Mao
77' :A S soccer:Msuva anaweka goli la pili kimiani baada ya kipa kutoka golini
88' :A S soccer:Rwanda wanaandika goli kupitia kwa Tuisenge, Rwanda 1-2 Tanzania.
90+2' Kadi ya njano kwa Aishi Manula kwa kupoteza muda
90+4' Mwamuzi anapuliza kipenga kuashiria mwisho wa mchezo, Kiilimanjaro stars wanapata pointi tatu nyingine na kutimiza pointi sita.
Last edited by a moderator: