CECAFA yampa Okwi ufungaji bora wakati hastahili

Ulimakafu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
31,248
Reaction score
13,244
Kuna habari kwenye gazeti la michezo la leo 13/12/2011 kuwa Emmanuel Okwi alitangazwa na kupewa joint top scorer na akina Karekezi wa CECAFA Challenge cup ilyoisha majuzi wakati ana goli 4 tu,pungufu ya moja kwa wenzie.Uzembe gani huo wa waandaaji.
 
Hawa CECAFA hata mimi ningecheza Stars ningechaguliwa mchezaji bora
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…