Mr worldwide
JF-Expert Member
- Dec 30, 2017
- 348
- 740
Hivi maccm mnaumia nini na ofisi ya chadema?
Mwambe atagombea lakini mjue Lissu amerudi na ndio mwenyekiti mtarajiwa
Mwambe atagombea lakini mjue Lissu amerudi na ndio mwenyekiti mtarajiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata makao makuu ya Dodoma yamejengwa na michango ya wananchi, we mzee hujitambui!Majengo yote ya CCM yamejengwa kwa michango ya wanachama na sasa wanajenga chuo kikuu cha kisasa kabisa pale Kibaha.
Mwambe yuko vizuri!
Kama wapiga kura watakuwa nguruwe toka Lumumba sawa.Safari hii mtasema yote Mwambe anaimwaga mbege!
Kwa pesa ipi wakati ruzuku zote hadi DEC 2020 mbowe alishazichukulia mkopo benk
Pesa ikiingia tu benk wanakuala ,hivi hamjui kuwa mbowe alishaimaliza chadema
State agent
Majengo yote ya CCM yamejengwa kwa michango ya wanachama na sasa wanajenga chuo kikuu cha kisasa kabisa pale Kibaha.
Mwambe yuko vizuri!
Hahahaaa........ Lisu huyu wa Singida?!Hivi maccm mnaumia nini na ofisi ya chadema?
Mwambe atagombea lakini mjue Lissu amerudi na ndio mwenyekiti mtarajiwa
KUPATA HESHIMA.Sasa jengo litasaidia Nini ktk siasa...
Hakika mkuu!
Labda uenyekiti wa ccm.Mwambe anashinda huo uenyekiti
Yule ambaye watu wa Lumumba wakisikia jina lake mavi yanagonga chupi.Hahahaaa........ Lisu huyu wa Singida?!
Watu walio karibu na mgombea wa Uenyekiti wa Chadema mh Cecil Mwambe wamesema moja ya vipaumbele vya mgombea huyo ni kuhakikisha Chadema inajenga jengo la kisasa la makao makuu.
Ikumbukwe kuwa baada ya kuhama pale kisutu kwenye ofisi za rip Ndesamburo Chadema walijihifadhi mtaa wa Ufipa pale kinondoni kwenye nyumba ya NHC iliyokuwa chini ya rip Bob Makani. Baadae Chadema walifanikiwa kuimiliki nyumba hiyo na kuifanya kuwa makao makuu.
Wapambe wa Mwambe wanadai kuwa Chadema ni chama kikubwa kinachostahili kuwa na ofisi zenye hadhi yake kama lilivyo jina lake Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Pia Mwambe anatarajia kuupa nguvu umoja wao wa vijana yaani Bavicha ambao kwa sasa ni kama umekufa ganzi huko mikoani na kubakia Dsm tu.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Asante kwa taarifa tatizo la chadema mnataka wadau ama wanachama wajitolee mwanzo mwisho ndiyo maana mnafeli mkono mtupu haulambwi lazima chama kiwe na miradi mnapata ruzuku mnashindwa kuwa wabunifu ?Watu walio karibu na mgombea wa Uenyekiti wa Chadema mh Cecil Mwambe wamesema moja ya vipaumbele vya mgombea huyo ni kuhakikisha Chadema inajenga jengo la kisasa la makao makuu.
Ikumbukwe kuwa baada ya kuhama pale kisutu kwenye ofisi za rip Ndesamburo Chadema walijihifadhi mtaa wa Ufipa pale kinondoni kwenye nyumba ya NHC iliyokuwa chini ya rip Bob Makani. Baadae Chadema walifanikiwa kuimiliki nyumba hiyo na kuifanya kuwa makao makuu.
Wapambe wa Mwambe wanadai kuwa Chadema ni chama kikubwa kinachostahili kuwa na ofisi zenye hadhi yake kama lilivyo jina lake Chama cha Demokrasia na Maendeleo.
Pia Mwambe anatarajia kuupa nguvu umoja wao wa vijana yaani Bavicha ambao kwa sasa ni kama umekufa ganzi huko mikoani na kubakia Dsm tu.
Ni hayo tu kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani Singida ni Kaskazini?!Yule ambaye watu wa Lumumba wakisikia jina lake mavi yanagonga chupi.
Ahsante kwa ushauri mkuu....... Dr Mashinji amekusikia!Asante kwa taarifa tatizo la chadema mnataka wadau ama wanachama wajitolee mwanzo mwisho ndiyo maana mnafeli mkono mtupu haulambwi lazima chama kiwe na miradi mnapata ruzuku mnashindwa kuwa wabuinifu ?
Mwambe wa CCM hawezi kupewa chama katu. mpeni ubunge unatosha kama hataki amfuate WaitaraSasa jengo litasaidia Nini ktk siasa...
Achana na huyo chokoraa yuko intoxicated na bangi.Mkuu,tuwekee ushahidi wa haya uliyoyasema na sisi tujionee."Maendeleo hayana vyama"