Cecil Mwambe: Mimi ni CCM mwenzenu nilirudishwa bungeni na Spika Ndugai kuigiza

Cecil Mwambe: Mimi ni CCM mwenzenu nilirudishwa bungeni na Spika Ndugai kuigiza

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Wajumbe waliopiga kura za maoni jimboni Ndanda walimbana vilivyo mtia nia Cecil Mwambe juu ya uhalali wa uanachama wake ikizingatiwa kuwa baada ya kupokelewa na komredi Polepole, Mwambe alirudi tena bungeni kuitumikia Chadema.

Mwambe alikiri kurudi kwake CCM na kupokelewa na Polepole lakini alirudi tena bungeni baada ya kuitwa na Spika Ndugai kufanya maigizo na siyo kuitumikia Chadema.

Wajumbe walimtosa kamanda Mwambe.

Maendeleo hayana vyama!
 
Huyu jamaa ni wa hovyo sana na ningeshangaa kama Wajumbe wa Jimbo LA Ndanda kama wange MPA kura na huko juu chonde chonde msirudishe jina lake
 
Yaani waunga juhudi karibia wote chali, isitoshe walitoka upinzani kwa kukashifu vyama/viongozi wa vyama husika.
Nawaza tu kwa sauti wataunga juhudi toka moyoni au kishingo upande tu.
 
Maneno haya aliyaongea Marehemu Mzee Mahanga miaka miwili nyuma, Leo yametimia.  ( 598 X 640 ).jpg
 
Back
Top Bottom