shungurui
JF-Expert Member
- Sep 1, 2008
- 3,765
- 5,160
Dah, jembe tunammiss, sijui watu walifanya yao, baada ya kugoma kuunga juhudi,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, jembe tunammiss, sijui watu walifanya yao, baada ya kugoma kuunga juhudi,
yote yawezekanaDah, jembe tunammiss, sijui watu walifanya yao, baada ya kugoma kuunga juhudi,
Nakojoaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kakutana na wenyewe... na usikute mafao yake walipita nayo kwa ahadi ya kumpitisha!!!So imekula kwake.Furaha ya wiki 2 inageuka Kuwa huzuni miaka 5. Tehetehe😂😂😂😂.
Sio miaka 5 tuu, upuuzi wake umeingia katika historia ya maisha yake yote.So imekula kwake.Furaha ya wiki 2 inageuka Kuwa huzuni miaka 5. Tehetehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Wajumbe waliopiga kura za maoni jimboni Ndanda walimbana vilivyo mtia nia Cecil Mwambe juu ya uhalali wa uanachama wake ikizingatiwa kuwa baada ya kupokelewa na komredi Polepole, Mwambe alirudi tena bungeni kuitumikia Chadema.
Mwambe alikiri kurudi kwake CCM na kupokelewa na Polepole lakini alirudi tena bungeni baada ya kuitwa na Spika Ndugai kufanya maigizo na siyo kuitumikia Chadema.
Wajumbe walimtosa kamanda Mwambe.
Maendeleo hayana vyama!
Ilikuwaje?Bwashee CCM hawanaga utani kwenye maswala ya msingi.
Uliwaona Tunduma walivyompigisha magoti Silinde?
Ndiyo pale Mkwere naposema Za Kuambiwa changanya na zakoAmfate ndugai sasa ili ampe huo ubunge.shenzi sana hawa watu.
Walifikiri wanamkomoa Mbowe na ChademaNdo maana alilalamika kuwa Ndugai siku hizi amekataa kupokea simu yake.