Cecil Mwambe: Mimi ni CCM mwenzenu nilirudishwa bungeni na Spika Ndugai kuigiza

Cecil Mwambe: Mimi ni CCM mwenzenu nilirudishwa bungeni na Spika Ndugai kuigiza

IMG-20200722-WA0004.jpg
 
Kwahiyo anataka ridhaa ili akaendelee kuigiza?
 
Kinachonisikitisha zaidi ni kuona wanaotoka CCM kwenda CDM wanapokelewa kama malaika na kupewa vyeo na nafasi kubwa.

Lini upinzani utaamka?
 
So imekula kwake.Furaha ya wiki 2 inageuka Kuwa huzuni miaka 5. Tehetehe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Sio miaka 5 tuu, upuuzi wake umeingia katika historia ya maisha yake yote.
Maswali hayo ni aibu kubwa kwa Ndugai na hata Magufuli aliyeyabariki mbinu hizo. Ni wazi kuwa matendo ya ununuzi wa wabunge wa upinzani na chaguzi ndogo za kulazimisha warudi kuitumikia CCM ilihali hawana itikadi ya CCM yalikuwa yanawakera na kuwaudhi wanaccm wenye chama.
Sasa ni wazi kuwa Mwenyekiti alikuwa anawaburuza wanachama apendavyo na hata like swali la mjumbe wa Songwe kwenye mkutano mkuu ni PANA ZAIDI YA PALE
 
Wajumbe waliopiga kura za maoni jimboni Ndanda walimbana vilivyo mtia nia Cecil Mwambe juu ya uhalali wa uanachama wake ikizingatiwa kuwa baada ya kupokelewa na komredi Polepole, Mwambe alirudi tena bungeni kuitumikia Chadema.

Mwambe alikiri kurudi kwake CCM na kupokelewa na Polepole lakini alirudi tena bungeni baada ya kuitwa na Spika Ndugai kufanya maigizo na siyo kuitumikia Chadema.

Wajumbe walimtosa kamanda Mwambe.

Maendeleo hayana vyama!

Cecil Mwambe ni popoma. Eti DUME mwenzio anakuita Dodoma nawe unaenda! Mhh! Hamnazo, mtoto si riziki.
 
Ndo maana alilalamika kuwa Ndugai siku hizi amekataa kupokea simu yake.
 
Back
Top Bottom