Cecil Mwambe: Sihitaji mtu anichukulie fomu, nitaenda kuchukua mwenyewe ila tuwe pamoja kwenye kampeni kama mnanikubali

Mbowe kafanya jambo la kitoto na kijinga maigizo ya kuchukuliwa fomu, hiyo inaonyesha Mbowe uwezo wake wa kiuongozi ni mdogo na hana tena la kuisaidia CHADEMA, Ni vizuri Mbowe akae pembeni apishe mawazo mapya
Unadhani kungelikuwa na mwenyekiti mwingine figisu na wagombea kwenye serikali za mitaa wasingeenguliwa!?
 
Hii ya mbowe kuigiza kuchangiwa pesana kuchukuliwa form nidariri za uoga nakutaka kuwafanya wengine wasigombee , mimk mwanachadema sisi huku kimara mbowe na myika hatutaki haya kuwasikia
 
Dada, nakwepa kuuharibu Uzi wako. Hebu nipotezee. Nakushauri upunguze roporopo tu!
Mbwiga huna uwoga wowote kama uliwexa kumtapeli Mwenyekiti wako akakaa mahabusu Krismasi na mwaka mpya ndio utaogopa kuharibu uzi mimi usiyenijua.

Dhambi uliyomtendea aikael ni ya kulaaniwa kabisa!
 
Ndiyo demokrasia hiyo,hongera zake.Lakini kama fomu wangechukuwa watu aina ya Heche nisingekuwa na mashaka.Tulipofikia sasa haihitajiki tena siasa baridi.
 
Mbowe kafanya jambo la kitoto na kijinga maigizo ya kuchukuliwa fomu, hiyo inaonyesha Mbowe uwezo wake wa kiuongozi ni mdogo na hana tena la kuisaidia CHADEMA, Ni vizuri Mbowe akae pembeni apishe mawazo mapya
Nguruwe wa Lumumba tumewaachia shamba la mihogo ( Serikali za mitaaa na vitongoji) endeleeni kufakamia tuacheni na mambo yetu. Na Mbowe ilikuwa asigombee lakini jinsi mnavyohangaika tumeamua kumpa mitano mingine,vimbeni hadi mpasuke. Na huyo Cecil jiwe ndiye kamharibia kabisa.
 
Ndiyo demokrasia hiyo,hongera zake.Lakini kama fomu wangechukuwa watu aina ya Heche nisingekuwa na mashaka.Tulipofikia sasa haihitajiki tena siasa baridi.
Mwambe anataka kuibadilisha Chadema kutoka kundi la wanaharakati kuwa chama cha siasa!
 
we jamaa unakurupuka sana, Kama umeshawahi kushinda hata kesi ya wizi wa kuku nitadharau sana mahakama
 
Bila shake wewe ndio umekurupuka, Mwambe anataka Uenyekiti CHADEMA Taifa.
 
Mbowe kafanya jambo la kitoto na kijinga maigizo ya kuchukuliwa fomu, hiyo inaonyesha Mbowe uwezo wake wa kiuongozi ni mdogo na hana tena la kuisaidia CHADEMA, Ni vizuri Mbowe akae pembeni apishe mawazo mapya
Kama ni mtu wa kaskazini kabila kubwa atamuweza Aikaeli lakini kama sio ajiweke pembeni au kawekwa na mbowe mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…