Habari madocta
Nimepewa hiyo dawa baada ya kugundulika nina PID.wakati wa vipimo iligundulika nina ujauzito pia.kuna ndugu yangu kaniambia wajawazito hawaruhusiwi kutumia hiyo sindano.je zina madhara kweli?msaada tafadhali maana nipo kwenye dozi bado.
Asanteni
Nimepewa hiyo dawa baada ya kugundulika nina PID.wakati wa vipimo iligundulika nina ujauzito pia.kuna ndugu yangu kaniambia wajawazito hawaruhusiwi kutumia hiyo sindano.je zina madhara kweli?msaada tafadhali maana nipo kwenye dozi bado.
Asanteni