Celebrities wa bongo ndo wanaowaweka wenye magazeti ya udaku mjini

Bukwabi

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
3,352
Reaction score
1,148
Ni mawazo yangu, Imefika wakati ma celebrities wetu wapewe ushuru na wamiliki wa magazeti ya udaku kwani ndo wanaowaweka mjini. Ili gazeti liuze lazima heading ibebwe na jina la celebrity. Wanastahili kulipwa percentage fulani kwani wamewafikisha hapo mlipo. Nawasilisha!
 
Wametufungia uzi,ila mod kafanya vizuri kafunga special zote bila upendeleo

Ule ujinga wa jana wa kuleta home affairs JF ndio uliosababisha yote haya...
 
Umeona eeh?niliwahi kusema akitoa video ata break JF na ndicho hasa kilichotokea jana.
Kiba noma sana,watu wamechanganyikiwa vibaya sana.

Huo ushabiki wa kuwagawa Wasanii ndio umeharibu. Wote ni Wasanii wetu, kwa nini watugawe?
 
Watugawe kivipi?Nampenda Kiba basi.

Ni mapenzi yako kwa kweli na hakuna wa kukuingilia, lakini mjadala ulikuwa unatugawa bora wamefunga hizo threads.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…