Celebrities wa kike Bongo wanakosa nini ambacho Zari anacho?

Celebrities wa kike Bongo wanakosa nini ambacho Zari anacho?

Celebrities wa kibongo wapo wapo tu, hawapo serious na kazi zaidi ya show off za instagram, Ufeki mwingi mfano wolper! Zari anawakimbiza mno.
 
Zari kama mwenyewe anavyojiita bosslady wiki aliopita alisaini mkataba wa kuwa Brand ambassador wa GSM mall zilizopo Pugu na Msasani.
Tayari ameshafanya tangazo bado kutoka tu, pia jana alikuwa Pugu mall kutimiza majukumu take
View attachment 471982
Cha kujiuliza Bongo tuna celebrities wa kike kibao kuanzia Wema sepetu mwenye wafuasi kibao, jokate, Kajala, Shilole, Wolper, Uwoya, Vanessa mdee, na wengine kibao, Hawa nawakosa mini kupata madeal ya maana kama haya? MTU katoka Uganda kapata deal
Tatizo ni mini hapa?

Wanapenda sana bia na wanapenda maisha ya mteremko halafu sio wazuri
 
Wamekosa watoto watano
Period

Na watoto wake wa 5 nitamchagua Zari kwa akina Wema wasio na watoto!Jana nilimuona Wolper mahali ana kitambi!
Mtoto wa kike anapiga mchemsho na ndizi mshale 5 asubuhi,mchana pale samaki samaki anapiga ugali mkubwa na kuku na jioni ubwabwa nazi na samaki wa mchuzi!
Zari anajipenda sana na anapiga mpunga mrefu kuliko hawa wasio na watoto lkn kama wamezaa
 
Mademu wabongo hawawezi kitu wao wanaweza umalaya ,umbea ,akili za biashara hawana kutwa kupondana humu,na kushinda ktk magroup na instagram ,acha Zari awaoneshe....
 
Watamzushia hana kibali cha kuishi wala kufanya kazi (za matangazo) kwa uhamiaji
 
Zari kama mwenyewe anavyojiita bosslady wiki aliopita alisaini mkataba wa kuwa Brand ambassador wa GSM mall zilizopo Pugu na Msasani.
Tayari ameshafanya tangazo bado kutoka tu, pia jana alikuwa Pugu mall kutimiza majukumu take
View attachment 471982
Cha kujiuliza Bongo tuna celebrities wa kike kibao kuanzia Wema sepetu mwenye wafuasi kibao, jokate, Kajala, Shilole, Wolper, Uwoya, Vanessa mdee, na wengine kibao, Hawa nawakosa mini kupata madeal ya maana kama haya? MTU katoka Uganda kapata deal
Tatizo ni mini hapa?

Utulivu hakuna.
IQ za mwendo kasi.
Lakini zaidi ya yote, unajua watu wanatafuta balozi atakayevutia watu kwenye soko? Hawa wa kwenu, wamejaa vurugu, matusi, makundi ya kijinga, hawana kiachoeleweka zaidi ya malumbano, umbea, majungu, maudhi bila kitu chochote cha maana cha kumfundisha mtu. Leo unataka wawe balozi wanani?

Kila siku kugombanamitandaoni ndio b/fast.
Wajifunze kujiheheshimu, watlize akili na waonyeshe ufahamu.
 
Kwani zari hana picha au video akiwa uchi anajipiga puchu?sisi tuna tabia ya kushobokea wageni
Basi anacho cha pekee zaidi mpaka makampuni bado yanamuelewa!
Na anajua kutafuta pesa
 
Kuna sababu nyingi: ngoja nikupe chache:

1. kujitambua kama icon unaeiwakilisha jamii

2. Utulivu katika ndoa, zari anaonekana amaetulia sana katika ndoa yake...

3. Uwezo wa kuzitumua fursa unazopata..zari katika fursa anawapita wote..alipata fursa ya kuolewa na diamond ameitumia kukuza biashara zake lakini kupata watoto wawili faster faster sasa kuwa icon wa gsmmalls nadhani akipata fursa zaidi atazitumia bala bala...

Sasa haya yanamvutia nini mwenye biashara yake? Yanaonekanaje katika bidhaa hadi yavutie wateja? Kuna label za ndoa kwenye matangazo? Uwezo wa kutumia fursa una aksi vipi kwenye mauzo?

Mimi ninadhani hawa wa bongo akili zao finyu. Ukahaba, ujinga, maisha ya kipumbavu na tabia chafu, zinatisha . Hakuna mtu ataweka kwenye biashara yake watu wenye mitafaruku isiyoisha. Kwa sababu jinsi walivyo, ndivyo watakavyopelekea biashara zao kuwa.
 
Zari is a pure businesswoman anajua afanye nini kupata pesa sio mademu wa kibongo wanaopenda fame na kiki za kipuuzii.... Wana2mia majina yao kujichafua na kushow off [emoji741] wakat hayo n mambo ya kitambo balaa... Madem wa kibongo hawjuii kujibrand licha ya kuwa na majina
 
Na watoto wake wa 5 nitamchagua Zari kwa akina Wema wasio na watoto!Jana nilimuona Wolper mahali ana kitambi!
Mtoto wa kike anapiga mchemsho na ndizi mshale 5 asubuhi,mchana pale samaki samaki anapiga ugali mkubwa na kuku na jioni ubwabwa nazi na samaki wa mchuzi!
Zari anajipenda sana na anapiga mpunga mrefu kuliko hawa wasio na watoto lkn kama wamezaa

Sijakuelewa mkuu,kwahiyo unataka watoto wa kike wasile?
Kula kunahusiana vipi na kupiga mpunga mrefu?
Well...huyo Wolper anayekula amewahi kukuomba nini? Kwani umesikia ana shida? Hujui ana duka lake lake la nguo?
Hiyo GSM kwani ni ya Zari?

Tulia na ujifunze kujenga hoja mkuu.
Halafu kabla ya kumponda mtu hakikisha una details zake za kutosha.
 
Zari kama mwenyewe anavyojiita bosslady wiki aliopita alisaini mkataba wa kuwa Brand ambassador wa GSM mall zilizopo Pugu na Msasani.
Tayari ameshafanya tangazo bado kutoka tu, pia jana alikuwa Pugu mall kutimiza majukumu take
View attachment 471982
Cha kujiuliza Bongo tuna celebrities wa kike kibao kuanzia Wema sepetu mwenye wafuasi kibao, jokate, Kajala, Shilole, Wolper, Uwoya, Vanessa mdee, na wengine kibao, Hawa nawakosa mini kupata madeal ya maana kama haya? MTU katoka Uganda kapata deal
Tatizo ni mini hapa?


Tatizo kubwa la macelebrity wa bongo ni kuwa hawana akili na hawajitambui hata kidogo. Sasa mtu hujitambui mfanya bisahara gani atataka umtangazie biashara yake, ukimtia hasara kwa ujinga wako?
 
Back
Top Bottom