Tanzania imefanikiwa kutoa wasanii Nguli si barani tu bali duniani kwa ujumla, kwa mfano, Shilole+UCHEBE, Wema Sepenga, Wolper, Aunt Ezekiel+Moses Iyobo, Steve Nyerere, Single Mtambalike, JB.
(KI)HOJA: kutokana na ukwasi (Utajiri) walionao si busara kuwekeza katika katika kuanzisha viwanda hapa hapa nchini?Kuliko kuficha Mabilioni kwenye akaunti za huko Uswisi?
cc. ONTARIO
(KI)HOJA: kutokana na ukwasi (Utajiri) walionao si busara kuwekeza katika katika kuanzisha viwanda hapa hapa nchini?Kuliko kuficha Mabilioni kwenye akaunti za huko Uswisi?
cc. ONTARIO