Celebrities wa Tanzania hawaoni fursa kwenye kuanzisha Viwanda nchini?

Wewe ambaye elimu yako sio kanjanja umeanzisha nini?
Tatizo kubwa Celebrity wengi sana Elimu zao ni kanjanja !! Hata wakianzisha viwanda vitakuwa vya juice kama mak juice ndo maaana wengi ni Mama ntilie
 
Mwana FA si kaanzisha kiwanda cha Kutengeneza Perfume(Unyunyu)? Jay Dee si alitaka kufungua kiwanda cha maji wakamfanyia FIGISU?
 
Acha ushamba we kiazi , ukwasi upi walionao hao madanga na wakata viuno ?
 
Asking a Butcher for advice about diamond business...

Ni ajabu iliyoje kuna katabia kameingia ka kujidanganya kwamba fursa ni rahisi na kila Bakari Juma au John wanaweza kuzifanyia kazi, na kwamba biashara ni rahisi kufanya kila mwenye mtaji anaweza kufanya.., tunasahau kwamba hata kuigiza na shughuli nyingine navyo ni vipaji unavyoweza kuwekeza na kuvifanya vema..

Itakuwa busara kama kila mtu anajikita kwenye anachokijua na kupenda kukifanya..,, sidhani kama itakuwa vema tukisema waigizaji hawatoshi kwanini wamiliki wa viwanda wasiigize
 
Hongera Uwoya kwa kuanzisha baa maarufu pale sinza karibu na wanyama hotel, huo ni mwanzo mzuri kuelekea Nchi ya Viwanda. Hata ile MERCEDES BENZ yako imesimama kiukweli.
Kiwanda cha Baa ilikufa mapema asubuhi
 
Shilole+UCHEBE, Wema Sepenga, Wolper, Aunt Ezekiel+Moses Iyobo, Steve Nyerere, Single Mtambalike, JB.[emoji23] hawa wana mabilion wameficha uswisi? Kwanini sasa wafiche?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuko pamoja.
 
[emoji2936][emoji2935]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…