Celebrities wa Tanzania mjifunze kutoka kwa Mwanamuziki Robert Kelly

Celebrities wa Tanzania mjifunze kutoka kwa Mwanamuziki Robert Kelly

Planett

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2014
Posts
10,497
Reaction score
16,180
Wakuu habari zenu!

Kuna wimbo mmoja R.Kelly ameutoa unaitwa 'I Admit humo ndani anajutia aliyoyafanya na kujaribu kueleza dunia ukweli wa kile kinachoendelea juu yake.

Ningependa kuwaasa wasanii wa kibongo wale wa kiume hasa bongomovie mnajijua acheni haya mambo ya kupenda vibinti vidogo mtakuja kuumbuka siku ya siku shauri yenu. Msije sema hamkuaswa mapema.'
 
Vibinti vingine vinajipeleka so sad kwa wale mabinti wanaolazimishwa
 
Ungeelezea R. KELLY alifanya nini na akakutwa na nini hadi leo anavyojutia ingependeza.

Maana English ni tatizo kwa tulio wengi kuanzia wanyonge hadi juu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dahh.... Yani Uzi tayari eti!!??
 
Back
Top Bottom