Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha!ha!ha!kuna mtu huko fb ameona habari ya Rostam kusaidia akaanza kumponda diamond,alidhani rostam ni kina roma na stamina[emoji1787]
😀 😀 😀 😀kuna mtu huko fb ameona habari ya Rostam kusaidia akaanza kumponda diamond,alidhani rostam ni kina roma na stamina🤣
😂mkuu povu kama lote,nilisahau tu ku screenshot,ipo page ya millardHa!ha!ha!
Hapo unaweza kuta alitoa povu la hatari.
Akigundua atajiona mjinga sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha haaakuna mtu huko fb ameona habari ya Rostam kusaidia akaanza kumponda diamond,alidhani rostam ni kina roma na stamina🤣
huko fb kuna watu wa ajabu sana mkuu😂😀 😀 😀 😀
Aiseeee
Hahahahahah!!!!!kuna mtu huko fb ameona habari ya Rostam kusaidia akaanza kumponda diamond,alidhani rostam ni kina roma na stamina[emoji1787]
Ndugu zangu wa fb nawafahamu vema...ila huyo katisha.huko fb kuna watu wa ajabu sana mkuu😂
Sizani Hilo Jambo litatokea wanapenda Sana ukijiorganize kwenye starehe Mara nyingiBasi angalau hata wachange kama jamii ya wasanii waanzishe mfuko maalumu ili wasaidie jamii ktk kipindi hiki wauite hata Bongo stars charity Fund...wajichange change hela kwa pamoja kwa umoja wao watoe kama jamii mmoja mmoja wataumia maana tunajua wazi hawana hela..wàmchagur hata Majizoo and then tofaut zote kwenye industry kuanzia bongo movies,bongo fleva,singeli,wacheza ngoma n.k wawe kitu kimoja hakika jamii itawakumbuka sana Bahati mbaya sidhan kama hilo wazo watalifanyia kazi
Steve awe mhaziniBasi angalau hata wachange kama jamii ya wasanii waanzishe mfuko maalumu ili wasaidie jamii ktk kipindi hiki wauite hata Bongo stars charity Fund...wajichange change hela kwa pamoja kwa umoja wao watoe kama jamii mmoja mmoja wataumia maana tunajua wazi hawana hela..wàmchagur hata Majizoo and then tofaut zote kwenye industry kuanzia bongo movies,bongo fleva,singeli,wacheza ngoma n.k wawe kitu kimoja hakika jamii itawakumbuka sana Bahati mbaya sidhan kama hilo wazo watalifanyia kazi
Wengine tunaponea huko huko mkuuhuko fb kuna watu wa ajabu sana mkuu[emoji23]
Kazi zao mnazipata kimagendo halafu mnategemea wawe na hela. Hela wanazitoa wapi ?Celebrities wa bongo wana utajiri wa kwenye insta na facebook tu ila kiuhalisia wanapumulia mashine....Yaani wanashindwa kununua hata "MAX" 50 au "SANTAIZA" kopo 20 na kugawia madereva wa daladala?