Umu Bana Panaitwa Makav live,Watu wanakupa za uso mwenyewe unaomba Poo na Hurud tena.Kule si washazoea Sifa za Kijinga,UTASIKIA; You're on point,Cjui You're beautiful inside n out,Inside unamjua wewe? Mara cjui ."U r naturally beautiful Baibe" Hata Kama umetumia Mkorogo.lolChezea jf wewe utachamba wima . Wenyewe wanapenda wakitupia picha kwenye mitandao wasifiwe ukifanya other wise ni hater hawapendi kuambiwa ukweli
Umu Bana Panaitwa Makav live,Watu wanakupa za uso mwenyewe unaomba Poo na Hurud tena.Kule si washazoea Sifa za Kijinga,UTASIKIA; You're on point,Cjui You're beautiful inside n out,Inside unamjua wewe? Mara cjui ."U r naturally beautiful Baibe" Hata Kama umetumia Mkorogo.lol
Umu Bana Panaitwa Makav live,Watu wanakupa za uso mwenyewe unaomba Poo na Hurud tena.Kule si washazoea Sifa za Kijinga,UTASIKIA; You're on point,Cjui You're beautiful inside n out,Inside unamjua wewe? Mara cjui ."U r naturally beautiful Baibe" Hata Kama umetumia Mkorogo.lol
mbona hod yupo humu,
Wamo kwa majina fakee
Chunguza kwa makini celebrities wengi huwaoni humu! Najua id zetu ni feki na si rahisi kumtambua mtu lakini kwa jinsi walivyo na mashauzi tungewajua tuu, manake wako hivi; wazuri wao, mahandsome wao, wenye akili sana wao, wenye pesa wao, wenye kujulikana sana wao! Na kama wamo humu tutajua tuu
jamaa anapenda sana kuforce maisha shule ilimshinda ndo maana analazimisha vitu ambavyo havipo kwake, usitafute sifa subiri sifa zikufate, KifesiHa ha ha ha ila kifes mbish na uceleb Mbuz wake kafos kik umu mpk tukamjua lol
Kwa hiyo na wewe kwa uandishi wako huu upo kwenye kundi la wasomi?? Mimi naona tu uungane na hao unaowasema hapa!